Loading...

MVUA ZAENDELEA KUHARIBU MIUNDOMBINU YA BARABARA

Loading...
MVUA ZAENDELEA KUHARIBU MIUNDOMBINU YA BARABARA - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MVUA ZAENDELEA KUHARIBU MIUNDOMBINU YA BARABARA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MVUA ZAENDELEA KUHARIBU MIUNDOMBINU YA BARABARA
link : MVUA ZAENDELEA KUHARIBU MIUNDOMBINU YA BARABARA

soma pia


MVUA ZAENDELEA KUHARIBU MIUNDOMBINU YA BARABARA

Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini zimeharibu miundombinu ya barabara maeneo ya Nduruma na Bwawani na kusababisha adha ya wananchi wa maeneo hayo kukosa mawasiliano ya barabara kwani magari hayapiti maeneo hayo. 

Injiani wa Halmashauri ya wilaya Arusha amesema eneo hilo linachangamoto kubwa ya barabara kwani maji yote ya mto nduruma na maeneo mengine ya jijini Arusha yanamwagwa huko.

Picha ni magari ya Halmshauri ya wilaya Arusha yakiwa yamekwama katika barabara ya manyire nduruma.












Hivyo makala MVUA ZAENDELEA KUHARIBU MIUNDOMBINU YA BARABARA

yaani makala yote MVUA ZAENDELEA KUHARIBU MIUNDOMBINU YA BARABARA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MVUA ZAENDELEA KUHARIBU MIUNDOMBINU YA BARABARA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/04/mvua-zaendelea-kuharibu-miundombinu-ya.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MVUA ZAENDELEA KUHARIBU MIUNDOMBINU YA BARABARA"

Post a Comment

Loading...