Loading...

Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete atembelewa na Balozi wa Canada Nchini

Loading...
Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete atembelewa na Balozi wa Canada Nchini - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete atembelewa na Balozi wa Canada Nchini, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete atembelewa na Balozi wa Canada Nchini
link : Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete atembelewa na Balozi wa Canada Nchini

soma pia


Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete atembelewa na Balozi wa Canada Nchini

 Rais Mstaafu Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete leo amekutana na Balozi wa Canada nchini Mhe. Ian Myles aliyemtembelea ofisini kwake Masaki jijini Dar es Salaam.
 Mheshimiwa Balozi Ian Myles aliwasilisha ujumbe maalum kutoka kwa Mheshimiwa Lloyd Axworthy, Mwenyekiti wa Global Refugee Initiative na Waziri Mstaafu wa Mambo ya Nje wa Canada. 
Mheshimiwa Rais Mstaafu amepokea ujumbe huo na kufanya mazungumzo na Balozi huyo wa Canada nchini kuhusu shughuli zake baada ya kustaafu hususan ushiriki wake katika Kamisheni ya Elimu.


Hivyo makala Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete atembelewa na Balozi wa Canada Nchini

yaani makala yote Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete atembelewa na Balozi wa Canada Nchini Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete atembelewa na Balozi wa Canada Nchini mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/04/rais-mstaafu-dkt-jakaya-kikwete.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete atembelewa na Balozi wa Canada Nchini"

Post a Comment

Loading...