Loading...

TAARIFA KUTOKA KURUGENZI YA MAWASILIANO YA RAIS IKULU

Loading...
TAARIFA KUTOKA KURUGENZI YA MAWASILIANO YA RAIS IKULU - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa TAARIFA KUTOKA KURUGENZI YA MAWASILIANO YA RAIS IKULU, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : TAARIFA KUTOKA KURUGENZI YA MAWASILIANO YA RAIS IKULU
link : TAARIFA KUTOKA KURUGENZI YA MAWASILIANO YA RAIS IKULU

soma pia


TAARIFA KUTOKA KURUGENZI YA MAWASILIANO YA RAIS IKULU


MUU01
Ikulu, Chamwino,Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, kesho tarehe 28 Aprili 2017, atapokea Taarifa ya zoezi la uhakiki wa vyeti kwa Watumishi wa Umma katika Ukumbi wa Chimwaga Mkoani Dodoma.

Taarifa hiyo itawasilishwa kwa Mheshimiwa Rais na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mheshimiwa Angellah Kairuki.
Zoezi la uhakiki wa vyeti kwa Watumishi wa Umma liliendeshwa na Serikali kuanzia Mwezi Oktoba mwaka 2016.


Jaffar Haniu,
Naibu Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU,
Chamwino, Dodoma.
27 Aprili, 2017


Hivyo makala TAARIFA KUTOKA KURUGENZI YA MAWASILIANO YA RAIS IKULU

yaani makala yote TAARIFA KUTOKA KURUGENZI YA MAWASILIANO YA RAIS IKULU Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala TAARIFA KUTOKA KURUGENZI YA MAWASILIANO YA RAIS IKULU mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/04/taarifa-kutoka-kurugenzi-ya-mawasiliano_27.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "TAARIFA KUTOKA KURUGENZI YA MAWASILIANO YA RAIS IKULU"

Post a Comment

Loading...