Loading...
title : Baadhi ya matukio yaliyojiri Bungeni hii leo Mei 3, 2017.
link : Baadhi ya matukio yaliyojiri Bungeni hii leo Mei 3, 2017.
Baadhi ya matukio yaliyojiri Bungeni hii leo Mei 3, 2017.
Ni kwanini MSD inashindwa kuagiza dawa wakati imepewa pesa na serikali ? Hapa naibu waziri Selemani Jafo anatoa ufafanuzi; https://youtu.be/ca6-YGggOMg
Swali la mbunge wa Bukombe Mhe. Biteko kuhusu ahadi ya Rais Magufuli ya ujenzi wa barabara za mji wa ushirombo kwa kiwango cha lami; https://youtu.be/l18Khg4bH4o
Je, ni lini wananchi watapewa fidia kupisha ujenzi wa barabara ya Mgakorongo? haya hapa majibu kutoka kwa naibu waziri. https://youtu.be/E_Bsq-bC9_4
Ufafanuzi wa serikali kuhusu fedha zilitokana na kukamatwa kwa meli iliyokua ikiendesha shughuli za uvuvi mwaka 2009 katika bahari ya Hindi bila ruhusa; https://youtu.be/w0jVMwSHPwc
Ni lini serikali itakamilisha ujenzi wa mradi wa maji kwa wananchi wa Kibaha? hapa naibu waziri wizara ya maji anatoa ufafanuzi; https://youtu.be/NDMw8lakbaQ
Tazama alichokisema naibu waziri Mhe. Kigwangalla kuhusu suala la upungufu wa vifaa tiba, madawa katika hospitali za umma. https://youtu.be/cpPdGHMi9fs
Swali la mbunge Mhe. Halima Bulembo akimuuliza naibu waziri Kigwangalla kuhusu huduma mbovu za afya kwa kina mama na watoto; https://youtu.be/st0KtE5Ijwc
Hivyo makala Baadhi ya matukio yaliyojiri Bungeni hii leo Mei 3, 2017.
yaani makala yote Baadhi ya matukio yaliyojiri Bungeni hii leo Mei 3, 2017. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Baadhi ya matukio yaliyojiri Bungeni hii leo Mei 3, 2017. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/05/baadhi-ya-matukio-yaliyojiri-bungeni.html
0 Response to "Baadhi ya matukio yaliyojiri Bungeni hii leo Mei 3, 2017."
Post a Comment