Loading...

BRITAM INSURANCE TANZANIA YAZINDUA BIMA YA AFYA KWA MAKAMPUNI

Loading...
BRITAM INSURANCE TANZANIA YAZINDUA BIMA YA AFYA KWA MAKAMPUNI - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa BRITAM INSURANCE TANZANIA YAZINDUA BIMA YA AFYA KWA MAKAMPUNI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : BRITAM INSURANCE TANZANIA YAZINDUA BIMA YA AFYA KWA MAKAMPUNI
link : BRITAM INSURANCE TANZANIA YAZINDUA BIMA YA AFYA KWA MAKAMPUNI

soma pia


BRITAM INSURANCE TANZANIA YAZINDUA BIMA YA AFYA KWA MAKAMPUNI

 Afisa Mtendaji Mkuu wa Britam Insurance Tanzania, Stephen Lokonyo akizungumza na waandishi wa habari habari (hawapo pichani) juu ya uzinduzi wa bima ya Afya kwa wagonjwa wanaolazwa ambayo ni maalum kwa Wafanyakazi wa makampuni Makubwa, ya Kati na Madogo, katika Mkutano uliofanyika kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Hyatt Regency, Jijini Dar es salaam.
Meneja wa Bima ya Afya wa Britam Insurance Tanzania, Christine Mwangi (wa pili kulia) akielezea namna Bima hiyo itakavyokuwa inafanya kazi kwa wateja wawatakaojinga na faida zake, wakati wa Mkutano na waandishi wa habari habari (hawapo pichani) uliofanyika kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Hyatt Regency, Jijini Dar es salaam. wengine pichani toka kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Fedha na Utawala, Irene Godson, Afisa Mtendaji Mkuu Britam Insurance Tanzania, Stephen Lokonyo, Meneja wa Mauzo, Godfrey Mzee pamoja na Afisa Oparesheni, Farai Dogo. Picha na Othman Michuzi.
 Meneja wa Mauzo wa Britam Insurance Tanzania, Godfrey Mzee akizungumza.


Hivyo makala BRITAM INSURANCE TANZANIA YAZINDUA BIMA YA AFYA KWA MAKAMPUNI

yaani makala yote BRITAM INSURANCE TANZANIA YAZINDUA BIMA YA AFYA KWA MAKAMPUNI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala BRITAM INSURANCE TANZANIA YAZINDUA BIMA YA AFYA KWA MAKAMPUNI mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/05/britam-insurance-tanzania-yazindua-bima.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "BRITAM INSURANCE TANZANIA YAZINDUA BIMA YA AFYA KWA MAKAMPUNI"

Post a Comment

Loading...