Loading...

Dkt.Semboja amsifu Rais Magufuli kuhusu ripoti ya mchanga, Awataka watanzania kumsaidia katika vita hiyo

Loading...
Dkt.Semboja amsifu Rais Magufuli kuhusu ripoti ya mchanga, Awataka watanzania kumsaidia katika vita hiyo - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Dkt.Semboja amsifu Rais Magufuli kuhusu ripoti ya mchanga, Awataka watanzania kumsaidia katika vita hiyo, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Dkt.Semboja amsifu Rais Magufuli kuhusu ripoti ya mchanga, Awataka watanzania kumsaidia katika vita hiyo
link : Dkt.Semboja amsifu Rais Magufuli kuhusu ripoti ya mchanga, Awataka watanzania kumsaidia katika vita hiyo

soma pia


Dkt.Semboja amsifu Rais Magufuli kuhusu ripoti ya mchanga, Awataka watanzania kumsaidia katika vita hiyo


Na. Immaculate Makilika- MAELEZO

 Mtafiti wa masuala ya Uchumi na Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam  Dkt.Haji Semboja anasema kuwa amefurahishwa na ripoti ya Kamati Maalum iliyoteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  John Pombe Magufuli  ya  kuchunguza mchanga wa madini kwenye makontena 277 yaliyozuiwa na serikali kusafirishwa kwenda nje kwaajili ya uchenjuaji.

Akizungumza Jijini Dar es Salaam  katika mahojiano na mwandishi wa habari hii, Dkt.Semboja alisema kuwa, hatua hiyo ni nzuri na ya kuridhisha  kwa vile Rais Magufuli amefanyia kazi suala hilo ambalo limekua likizungumzwa kwa muda mrefu na baadhi ya wasomi,wanaharakati na hata wanasiasa hapa nchini.

“Mimi ni kati ya Watanzania waliofurahishwa na maamuzi ya Rais, nina furaha kubwa hasa ukizingatia niliwahi kushiriki katika uandaaji wa sera za madini na uwekezaji, na ni wazi kuwa tumekuwa tukiibiwa kwa kiwango kikubwa katika sekta ya madini” alisema  Dkt.Semboja.

Malalamiko haya  ya wizi na utoroshaji wa madini yamekuwepo kwa muda mrefu,  kitu ambacho tulikua tukizungumza    sasa  kimethibitishwa , baada ya Rais Magufuli  kupokea ripoti hiyo ya mchanga”, aliongeza Dkt.Semboja.

Aidha, Dkt.Semboja amemshauri  Rais Magufuli  kuendelea kuwatumia wataalamu mbalimbali waliopo nchini na kuiomba Serikali iwe na utaratibu wa kuwatumia watu wake ambao wengi ni wazalendo na wana uchungu na nchi yao.

KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA

Rais Dkt John Pombe Magufuli


Hivyo makala Dkt.Semboja amsifu Rais Magufuli kuhusu ripoti ya mchanga, Awataka watanzania kumsaidia katika vita hiyo

yaani makala yote Dkt.Semboja amsifu Rais Magufuli kuhusu ripoti ya mchanga, Awataka watanzania kumsaidia katika vita hiyo Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Dkt.Semboja amsifu Rais Magufuli kuhusu ripoti ya mchanga, Awataka watanzania kumsaidia katika vita hiyo mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/05/dktsemboja-amsifu-rais-magufuli-kuhusu.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Dkt.Semboja amsifu Rais Magufuli kuhusu ripoti ya mchanga, Awataka watanzania kumsaidia katika vita hiyo"

Post a Comment

Loading...