Loading...

HALMASHAURI YA ARUSHA YAPITISHA MFUMO MPYA WA USIMAMIZI WA MIRADI LGDG

Loading...
HALMASHAURI YA ARUSHA YAPITISHA MFUMO MPYA WA USIMAMIZI WA MIRADI LGDG - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa HALMASHAURI YA ARUSHA YAPITISHA MFUMO MPYA WA USIMAMIZI WA MIRADI LGDG, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : HALMASHAURI YA ARUSHA YAPITISHA MFUMO MPYA WA USIMAMIZI WA MIRADI LGDG
link : HALMASHAURI YA ARUSHA YAPITISHA MFUMO MPYA WA USIMAMIZI WA MIRADI LGDG

soma pia


HALMASHAURI YA ARUSHA YAPITISHA MFUMO MPYA WA USIMAMIZI WA MIRADI LGDG

Na: Elinipa Lupembe

Wajumbe wa Baraza la Madiwani halmashauri ya Arusha wamekubaliana kutoa ushirikiano mkubwa kwa wataalamu wa halamashauri ya Arusha katika kusimamia Miradi kupitia Mfumo Mpya wa Ruzuku ya Serikali ya Miradi ya Maendeleo Local Government Development Grant ' (LGDG ).


Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Arusha Mh. Noah Lembri wakati wa Mkutano Maalumu wa Baraza la Madiwani kwa ajili ya Mafunzo ya siku moja ya  Mfumo Mpya wa ruzuku ya serikali ya Miradi ya Maendeleo  uliofanyika katika ukumbi wa mikutano Halamashauri ya Arusha.Mh. Lembris amesisitiza kuwa wajumbe wa baraza la madiwani liko tayari kushirikiana na watumishi wote kusimamia fedha za ruzuku za miradi ya maendeleo kwa kuwa lengo la mfumo ni kuhakikisha miradi inasimamiwa vizuri kwa ajili ya maendeleo ya wananchi.Mwenyekiti Lembris amewataka wataalamu wote kusimamia fedha  za miradi kwa kufanyakazi kwa nidhamu, uadilifu kwa kufuata miongozo, kanuni, sheria na taratibu za matumizi ya fedha za serikali.Pia ameutaka uongozi wa halmashauri kuwa wawazi na kutoa taarifa mapema endapo kuna tatizo lolote kuliko kukaa kimya mpaka mambo yaharibike 'Watendaji wanatakiwa kuwa wazi kwetu na kama kuna tatizo tushirikisheni  mapema ili tutoe ushauri  kabla mambo hayajaharibika' alisema Mh. Lembris Mkurugenzi Mtendaji halmashauri ya Arusha ameahidi kusimamia vema mfumo huo na kuwashughulikia watumishi watakaoenda kinyume na taratibu hizo.'Nitakua serious na usimamizi wa miradi na mtumishi atakayeleta uzembe nitamshughulikia' alisisitiza Dkt.MaheraMkutano huo licha ya kujifunza mfumo wa mpya wa ruzuku ya serikali pia mkurugenzi wa halmashauri aliwasilisha taarifa ya Mpango Mkakati wa halamashauri ya Arusha kwa miaka mitano ambao madiwa hao waliupitisha na kuomba ushirikiano mkubwa kutoka kwa watendaji wa halmashauri sambamba na kubuni miradi ya kuongeza mapato ndani ya halmashauri.Pichani ni matukio mbalimbali wakati wa mkutano huo.



Hivyo makala HALMASHAURI YA ARUSHA YAPITISHA MFUMO MPYA WA USIMAMIZI WA MIRADI LGDG

yaani makala yote HALMASHAURI YA ARUSHA YAPITISHA MFUMO MPYA WA USIMAMIZI WA MIRADI LGDG Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala HALMASHAURI YA ARUSHA YAPITISHA MFUMO MPYA WA USIMAMIZI WA MIRADI LGDG mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/05/halmashauri-ya-arusha-yapitisha-mfumo.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "HALMASHAURI YA ARUSHA YAPITISHA MFUMO MPYA WA USIMAMIZI WA MIRADI LGDG"

Post a Comment

Loading...