Loading...

IGP SIMON SIRO AANZA KAZI, AZUNGUMZIA MKAKATI WA KUTOKOMEZA MAUAJI KIBITI

Loading...
IGP SIMON SIRO AANZA KAZI, AZUNGUMZIA MKAKATI WA KUTOKOMEZA MAUAJI KIBITI - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa IGP SIMON SIRO AANZA KAZI, AZUNGUMZIA MKAKATI WA KUTOKOMEZA MAUAJI KIBITI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : IGP SIMON SIRO AANZA KAZI, AZUNGUMZIA MKAKATI WA KUTOKOMEZA MAUAJI KIBITI
link : IGP SIMON SIRO AANZA KAZI, AZUNGUMZIA MKAKATI WA KUTOKOMEZA MAUAJI KIBITI

soma pia


IGP SIMON SIRO AANZA KAZI, AZUNGUMZIA MKAKATI WA KUTOKOMEZA MAUAJI KIBITI

Mwambawahabari
1
Mkuu wa jeshi la polisi Nchini (IGP),Simon sirro akizungumza na waandishi habari (hawapo pichani) juu ya hatua mbalimbali za  kudhibiti masuala ya uhalifu likiwemo la mauaji yanayoendelea Kibiti leo jijini Dar es Salaam.PICHA NA JOHN BUKUKU -MAMBO YA NDANI)
2
Mkuu wa jeshi la polisi Nchini (IGP),Simon sirro aksisitiza jambo wakati alipozungumza na waandishi habari (hawapo pichani) juu ya hatua mbalimbali za kuweza kudhibiti masuala ya uhalifu likiwemo la mauaji yanayoendelea Kibiti leo jijini Dar es Salaam.
3 4
Sehemu ya waandishi wa habari pamoja na Makamanda wa Jeshi la Polisi wakimsikiliza IGP Mpya, Simon Sirro alipokuwa akizungumza na Wanahabari mapema leo jijini Dar es Salaam

…………………………………………………………………………..
Mkuu wa Jeshi la polisi Nchini (IGP),Simon sirro ameahidi kutoa sh.milion 10 kwa yeyote atakayetoa taarifa za kufanikisha kuwakamata watu wanaofanya mauaji ya viongozi huko Kibiti wilayani Rufiji Utete mkoani Pwani.
Akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Sirro amesema kumekuwa na mauaji ya wananchi na Askari katika Wilaya ya Rufiji Utete pamoja na Wilaya ya Mkuranga ambayo yamekuwa yakifanywa na wahalifu wachache kwa malengo wanayoyajua wao,
Amesema Jeshi la Polisi bado linaendelea na Operesheni mbalimbali kuhakikisha kwamba vitendo hivyo haviendelei kuweza kubaini mzizi.
Aidha Mkuu wa Jeshi la Polisi Mpya amezungumzia juu ya waendesha boda boda kuwa na tabia ya kukaidi kufata sheria za usalama barabarani ikiwemo kubeba abiria zaidi ya mmoja ‘mishikaki.
Sirro amesema waendesha bodaboda wanashindwa kufuata sheria za usalama barabarani kwa kupita taa nyekundu pamoja na kutovaa kofia ngumu ‘Helment’ ambapo kumesababisha wengine vifo na majeruhi ya kuwafanya kuwa na ulemavu wa kudumu
Hata hivyo amesema kumekuwa na malalalamiko dhidi ya baadhi ya Askari polisi kujihusisha na vitendo vya rushwa lakini pia baadhi ya wananchi kuwashawishi Askari kupokea rushwa ikiwa ni sehemu ya ngao ya kukwepa kuwajibishwa pindi wanapokuwa wamefanya makosa.


Hivyo makala IGP SIMON SIRO AANZA KAZI, AZUNGUMZIA MKAKATI WA KUTOKOMEZA MAUAJI KIBITI

yaani makala yote IGP SIMON SIRO AANZA KAZI, AZUNGUMZIA MKAKATI WA KUTOKOMEZA MAUAJI KIBITI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala IGP SIMON SIRO AANZA KAZI, AZUNGUMZIA MKAKATI WA KUTOKOMEZA MAUAJI KIBITI mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/05/igp-simon-siro-aanza-kazi-azungumzia.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "IGP SIMON SIRO AANZA KAZI, AZUNGUMZIA MKAKATI WA KUTOKOMEZA MAUAJI KIBITI"

Post a Comment

Loading...