Loading...

KAMATI YA HAKI NA MAADILI YA BUNGE YAMKUTA NA HATIA FREEMAN MBOWE.

Loading...
KAMATI YA HAKI NA MAADILI YA BUNGE YAMKUTA NA HATIA FREEMAN MBOWE. - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa KAMATI YA HAKI NA MAADILI YA BUNGE YAMKUTA NA HATIA FREEMAN MBOWE., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : KAMATI YA HAKI NA MAADILI YA BUNGE YAMKUTA NA HATIA FREEMAN MBOWE.
link : KAMATI YA HAKI NA MAADILI YA BUNGE YAMKUTA NA HATIA FREEMAN MBOWE.

soma pia


KAMATI YA HAKI NA MAADILI YA BUNGE YAMKUTA NA HATIA FREEMAN MBOWE.


Mwambawahabari
Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge imemtia hatiani Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni(KUB) Freeman Mbowe kwa kudharau mamlaka ya spika.

Halima Mdee pia ametiwa hatiani na kamati hiyo kwa kudharau mamlaka ya Spika na kutoa lugha ya matusi bungeni

Kwa kuwa Mbowe ni kosa la kwanza, aliitikia wito bila usumbufu na aliomba radhi, Bunge limeazimia kumsamehe.

Kuhusu Mdee, kamati imependekeza azuiwe kuhudhuria vikao vyote vilivyobaki bunge la bajeti.


Hivyo makala KAMATI YA HAKI NA MAADILI YA BUNGE YAMKUTA NA HATIA FREEMAN MBOWE.

yaani makala yote KAMATI YA HAKI NA MAADILI YA BUNGE YAMKUTA NA HATIA FREEMAN MBOWE. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala KAMATI YA HAKI NA MAADILI YA BUNGE YAMKUTA NA HATIA FREEMAN MBOWE. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/05/kamati-ya-haki-na-maadili-ya-bunge.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "KAMATI YA HAKI NA MAADILI YA BUNGE YAMKUTA NA HATIA FREEMAN MBOWE."

Post a Comment

Loading...