Loading...

TANZIA: Meya wa mji mdogo wa Urambo Ndg. Peter Sitta afariki dunia

Loading...
TANZIA: Meya wa mji mdogo wa Urambo Ndg. Peter Sitta afariki dunia - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa TANZIA: Meya wa mji mdogo wa Urambo Ndg. Peter Sitta afariki dunia, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : TANZIA: Meya wa mji mdogo wa Urambo Ndg. Peter Sitta afariki dunia
link : TANZIA: Meya wa mji mdogo wa Urambo Ndg. Peter Sitta afariki dunia

soma pia


TANZIA: Meya wa mji mdogo wa Urambo Ndg. Peter Sitta afariki dunia



Familia ya Marehemu Mh. Samuel Sitta inawatangazia ndugu, jamaa, majirani na marafiki kuwa imepata pigo la kuondokewa na Mdogo wa Marehemu Mhe. Samuel Sitta, ambaye alikuwa Meya wa mji mdogo wa Urambo Ndg. Peter Sitta.
Marehemu Peter Sitta amefariki dunia usiku wa kuamkia Jumamos  katika hospital ya Hindu Mandal jijini Dar es salaam. Msiba upo Masaki nyumbani kwa Hayati Samuel Sitta Mtaa wa Twiga Karibu na Makao makuu ya UNHCR jijini Dar es salaam.

Bwana ametoa, 
Bwana ametwaa.
 Jina lake na lihimidiwe.
AMEN


Hivyo makala TANZIA: Meya wa mji mdogo wa Urambo Ndg. Peter Sitta afariki dunia

yaani makala yote TANZIA: Meya wa mji mdogo wa Urambo Ndg. Peter Sitta afariki dunia Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala TANZIA: Meya wa mji mdogo wa Urambo Ndg. Peter Sitta afariki dunia mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/05/tanzia-meya-wa-mji-mdogo-wa-urambo-ndg.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "TANZIA: Meya wa mji mdogo wa Urambo Ndg. Peter Sitta afariki dunia"

Post a Comment

Loading...