Loading...

…Wabunge wakata posho kutoa rambirambi

Loading...
…Wabunge wakata posho kutoa rambirambi - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa …Wabunge wakata posho kutoa rambirambi, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : …Wabunge wakata posho kutoa rambirambi
link : …Wabunge wakata posho kutoa rambirambi

soma pia


…Wabunge wakata posho kutoa rambirambi


Joyce Kasiki, Dodoma

OFISI ya Spika na Bunge la Jamhuri ya Muungano limetoa Sh milioni 100 kutoka posho za wabunge kwa ajili ya rambirambi kwa wazazi wa wanafunzi wa shule ya awali na msingi ya Lucky Vincent ya Arusha waliopoteza maisha.

Wanafunzi hao walipoteza maisha Mei 6 wakati wakitoka Arusha kwenda Ngorongoro kufanya mtihani wa ujirani mwema kwa ajili ya maandalizi ya mitihani ya darasa la saba.

Mapema kabla ya kikao cha Bunge kuanza, Spika Job Ndugai aliwaongoza wabunge kusimama kwa dakika moja kuwakumbuka wanafunzi hao, walimu na dereva wao.

Akielezea utaratibu huo wa michango, Ndugai alisema wabunge hao walikubaliana kuwa kiasi hicho cha fedha kitagawiwa sawa kwa wafiwa wote.

Ndugai alisema rambirambi  hizo za wabunge zilitolewa kwa makubaliano ya wabunge wote.




Hivyo makala …Wabunge wakata posho kutoa rambirambi

yaani makala yote …Wabunge wakata posho kutoa rambirambi Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala …Wabunge wakata posho kutoa rambirambi mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/05/wabunge-wakata-posho-kutoa-rambirambi.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "…Wabunge wakata posho kutoa rambirambi"

Post a Comment

Loading...