Loading...
title : WADAU RAYMOND MUSHUMBUSI NA SUSAN BARNABAS WAMEREMETA JIJINI DAR ES SALAAM
link : WADAU RAYMOND MUSHUMBUSI NA SUSAN BARNABAS WAMEREMETA JIJINI DAR ES SALAAM
WADAU RAYMOND MUSHUMBUSI NA SUSAN BARNABAS WAMEREMETA JIJINI DAR ES SALAAM
Mfanyakazi wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Raymond Mushumbusi akiwa pamoja na Mkewe Bi.Susan Barnabas jana wakati walipofunga ndoa takatifu na kuwa mwili mmoja kwenye kanisa la Mtakatifu Petro Oysterbay jijini Dar es salaam wakisindikizwa na wasimamizi wao Benedict Mwakasindile na Bi. Leticia Mwakaila . Ndoa hiyo ilifungwa na Padri Padri Haule wa Kanisa hilo.
Bibi harusi Susan Barnabas na msimamizi wake Leticia Mwakaila wakiwa kwenye gari kabla ya kuingia kanisani tayari kwa tukio la kufungwa kwa ndoa hiyo jana.
Mfanyakazi wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Raymond Mushumbusi akimvisha pete Mkewe Susan Barnabas wakati walipofunga ndo katika kanisa la Mtakatifu Petro Oysterbay jana jijini Dar es salaa.
Mfanyakazi wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Raymond Mushumbusi akiwa pamoja na Mkewe Susan Barnabas wakishiriki sala wakati wa ibada ya kufungwa kwa ndoa yao jana.
Padri Haule wa kanisa la Mtakatifu Petro akiziombe pete za maharusi huku maharusi hao wakiwa wamezishikilia.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Hivyo makala WADAU RAYMOND MUSHUMBUSI NA SUSAN BARNABAS WAMEREMETA JIJINI DAR ES SALAAM
yaani makala yote WADAU RAYMOND MUSHUMBUSI NA SUSAN BARNABAS WAMEREMETA JIJINI DAR ES SALAAM Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala WADAU RAYMOND MUSHUMBUSI NA SUSAN BARNABAS WAMEREMETA JIJINI DAR ES SALAAM mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/05/wadau-raymond-mushumbusi-na-susan.html
0 Response to "WADAU RAYMOND MUSHUMBUSI NA SUSAN BARNABAS WAMEREMETA JIJINI DAR ES SALAAM"
Post a Comment