Loading...

Mafunzo kuhusiana na uanzishwaji wa matumizi ya Mashine za kieletroniki (EFD) yatolewa

Loading...
Mafunzo kuhusiana na uanzishwaji wa matumizi ya Mashine za kieletroniki (EFD) yatolewa - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Mafunzo kuhusiana na uanzishwaji wa matumizi ya Mashine za kieletroniki (EFD) yatolewa, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Mafunzo kuhusiana na uanzishwaji wa matumizi ya Mashine za kieletroniki (EFD) yatolewa
link : Mafunzo kuhusiana na uanzishwaji wa matumizi ya Mashine za kieletroniki (EFD) yatolewa

soma pia


Mafunzo kuhusiana na uanzishwaji wa matumizi ya Mashine za kieletroniki (EFD) yatolewa


 Baadhi ya Waandishi wa Habari waliohudhuria katika mafunzo kuhusiana na Uanzishwaji wa matumizi ya Mashine za kieletroniki (EFD)yaliofanyika katika ukumbi wa ZRB Mazizini mjini Unguja.

 Kamishna wa Bodi ya mapato Zanzibar Amour Hamil Bakari akitoa hotuba ya ufunguzi wa mafunzo kwa waandishi wa Habari kuhusiana na Uanzishwaji  wa matumizi ya Mashine za kieletroniki (EFD)yaliofanyika katika ukumbi wa ZRB Mazizini mjini Unguja.
 Mwandishi wa Habari wa Hits Fm Jazaa Kombo akiuliza maswali katika mafunzo kwa waandishi wa Habari kuhusiana na Uanzishwaji  wa matumizi ya Mashine za kieletroniki (EFD)yaliofanyika katika ukumbi wa ZRB Mazizini mjini Unguja.
 Mwandishi wa Habari wa Habari Leo Khatib Suleiman akiuliza maswali katika mafunzo kwa waandishi wa Habari kuhusiana na Uanzishwaji  wa matumizi ya Mashine za kieletroniki (EFD)yaliofanyika katika ukumbi wa ZRB Mazizini mjini Unguja.
 Meneja wa Sera ,Utafiti na Mipango Z R B Ahmed Haji Saadati akitoa ufafanuzi wa  maswali mbalimbali yalioulizwa  katika mafunzo kwa waandishi wa Habari kuhusiana na Uanzishwaji  wa matumizi ya Mashine za kieletroniki (EFD)yaliofanyika katika ukumbi wa ZRB Mazizini mjini Unguja.


Meneja Tehama Mussa Amour Ali akitolea ufafanuzi wa  maswali mbalimbali yalioulizwa  katika mafunzo kwa waandishi wa Habari kuhusiana na Uanzishwaji  wa matumizi ya Mashine za kieletroniki (EFD) yaliofanyika katika ukumbi wa ZRB Mazizini mjini Unguja.

PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.


Hivyo makala Mafunzo kuhusiana na uanzishwaji wa matumizi ya Mashine za kieletroniki (EFD) yatolewa

yaani makala yote Mafunzo kuhusiana na uanzishwaji wa matumizi ya Mashine za kieletroniki (EFD) yatolewa Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Mafunzo kuhusiana na uanzishwaji wa matumizi ya Mashine za kieletroniki (EFD) yatolewa mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/06/mafunzo-kuhusiana-na-uanzishwaji-wa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Mafunzo kuhusiana na uanzishwaji wa matumizi ya Mashine za kieletroniki (EFD) yatolewa"

Post a Comment

Loading...