Loading...
title : Matukio : Kampuni ya Acacia Yachangia katika Harakati za GGM Kuchangisha Fedha kwa Ajili ya Mapambano ya Vita dhidi ya Ukimwi.
link : Matukio : Kampuni ya Acacia Yachangia katika Harakati za GGM Kuchangisha Fedha kwa Ajili ya Mapambano ya Vita dhidi ya Ukimwi.
Matukio : Kampuni ya Acacia Yachangia katika Harakati za GGM Kuchangisha Fedha kwa Ajili ya Mapambano ya Vita dhidi ya Ukimwi.
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt Tulia Ackson akitia saini katika kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili katika lango la kupandia mlima Kilimanjaro,lango la Machame kwa ajili ya kutoa Baraka kwa washiriki wa changamoto ya kupanda mlima kwa lengo la kuchangisha fedha kwa ajili ya watu wanaoishi na Virusi vya Ukimwi zoezi linaloratibiwa na Kampuni ya Geita Gold Mining (GGM).
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt Tulia Ackson kizungumza wakati wa kutoa baraka kwa wanaharakati 89 wakiwemo wafanyakazi wa Kampuni ya Acacia wanaoshiriki zoezi panda mlima kwa lengo lakuchangisha fedha kwa ajili ya mapambano ,vita dhidi ya Ukimwi.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Geita Gold Mining (GGM) Terry Melpeter akizungumza katika shughuli hiyo iliyofanyika katika lango la Machame.
Na Dixon Busagaga wa Kanda ya Kaskazini.
Hivyo makala Matukio : Kampuni ya Acacia Yachangia katika Harakati za GGM Kuchangisha Fedha kwa Ajili ya Mapambano ya Vita dhidi ya Ukimwi.
yaani makala yote Matukio : Kampuni ya Acacia Yachangia katika Harakati za GGM Kuchangisha Fedha kwa Ajili ya Mapambano ya Vita dhidi ya Ukimwi. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Matukio : Kampuni ya Acacia Yachangia katika Harakati za GGM Kuchangisha Fedha kwa Ajili ya Mapambano ya Vita dhidi ya Ukimwi. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/06/matukio-kampuni-ya-acacia-yachangia.html
0 Response to "Matukio : Kampuni ya Acacia Yachangia katika Harakati za GGM Kuchangisha Fedha kwa Ajili ya Mapambano ya Vita dhidi ya Ukimwi."
Post a Comment