Loading...

MBUNGE WA MUFINDI MJINI ATOA MSAADA WA VITANDA SHULE YA SEKONDARI YA ISALAVANU

Loading...
MBUNGE WA MUFINDI MJINI ATOA MSAADA WA VITANDA SHULE YA SEKONDARI YA ISALAVANU - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MBUNGE WA MUFINDI MJINI ATOA MSAADA WA VITANDA SHULE YA SEKONDARI YA ISALAVANU, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MBUNGE WA MUFINDI MJINI ATOA MSAADA WA VITANDA SHULE YA SEKONDARI YA ISALAVANU
link : MBUNGE WA MUFINDI MJINI ATOA MSAADA WA VITANDA SHULE YA SEKONDARI YA ISALAVANU

soma pia


MBUNGE WA MUFINDI MJINI ATOA MSAADA WA VITANDA SHULE YA SEKONDARI YA ISALAVANU

 Hii ndio hali ilivyokuwa kwa Wanafunzi  wa shule ya Sekondari ya Isalavanu wilayani Mufindi mkoa wa mkoani Iringa ambao walikuwa wanalala kwa kutandika magodoro sakafuni. Zishukuriwe jitihada za Mbunge wa Mufindi mjini Mhe. Cosato Chumi ambaye kwa kushirikiana na  wadau wake wa maendeleo amekabidhi vitanda 35 aina ya double decker kuondoa adha hiyo.
 Wanafunzi  wa shule ya Sekondari ya Isalavanu wilayani Mufindi mkoa wa mkoani Iringa wakimshangilia Mbunge wa Mufindi mjini Mhe. Cosato Chumi wakati anashusha vitanda vyao
Vitanda 35 aina ya double decker vikiwa vimewasilishwa shuleni hapo na Mbunge wa Mufindi mjini Mhe. Cosato Chumi.


Hivyo makala MBUNGE WA MUFINDI MJINI ATOA MSAADA WA VITANDA SHULE YA SEKONDARI YA ISALAVANU

yaani makala yote MBUNGE WA MUFINDI MJINI ATOA MSAADA WA VITANDA SHULE YA SEKONDARI YA ISALAVANU Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MBUNGE WA MUFINDI MJINI ATOA MSAADA WA VITANDA SHULE YA SEKONDARI YA ISALAVANU mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/06/mbunge-wa-mufindi-mjini-atoa-msaada-wa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MBUNGE WA MUFINDI MJINI ATOA MSAADA WA VITANDA SHULE YA SEKONDARI YA ISALAVANU"

Post a Comment

Loading...