Loading...

Mwinyi Haji Ngwali: Bado kidogo nijiunge na Simba, mapenzi yangu Yanga yanifanya nibakie

Loading...
Mwinyi Haji Ngwali: Bado kidogo nijiunge na Simba, mapenzi yangu Yanga yanifanya nibakie - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Mwinyi Haji Ngwali: Bado kidogo nijiunge na Simba, mapenzi yangu Yanga yanifanya nibakie, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Mwinyi Haji Ngwali: Bado kidogo nijiunge na Simba, mapenzi yangu Yanga yanifanya nibakie
link : Mwinyi Haji Ngwali: Bado kidogo nijiunge na Simba, mapenzi yangu Yanga yanifanya nibakie

soma pia


Mwinyi Haji Ngwali: Bado kidogo nijiunge na Simba, mapenzi yangu Yanga yanifanya nibakie

Beki wa kushoto wa Timu ya Yanga, Mwinyi Haji Ngwali akiwajibika katika mmoja wa michezo aliyocheza kukabiliana na Simba

Na: Abubakar Khatib Kisandu, Zanzibar.

Baada ya kusaini mkataba mpya wa miaka miwili kuendelea kukipiga na mabingwa wa ligi kuu Tanzania bara Yanga, mlinzi wa kushoto Mwinyi Haji Ngwali “Bagawai” ametoboa siri iliyomfanya kubakia Jangwani na kutokwenda Msimbazi licha ya kufatwa na Simba.

Mwinyi amekiri kuongeza mkataba wa miaka miwili Yanga na pia aliweka wazi kuwa Simba walihitaji huduma yake lakini mapenzi yake Jangwani ndio sababu kubwa iliyomfanya kubakia Yanga.

“Nimeongeza mkataba wa miaka 2 pale Yanga, na kweli Simba walinihitaji na mazungumzo yalikuwa yameshaanza na yamefikia pazuri sana, lakini bado naipenda Yanga yangu ndio mana nimebakia Jangwani”. Alisema Mwinyi.


Hivyo makala Mwinyi Haji Ngwali: Bado kidogo nijiunge na Simba, mapenzi yangu Yanga yanifanya nibakie

yaani makala yote Mwinyi Haji Ngwali: Bado kidogo nijiunge na Simba, mapenzi yangu Yanga yanifanya nibakie Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Mwinyi Haji Ngwali: Bado kidogo nijiunge na Simba, mapenzi yangu Yanga yanifanya nibakie mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/06/mwinyi-haji-ngwali-bado-kidogo-nijiunge.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Mwinyi Haji Ngwali: Bado kidogo nijiunge na Simba, mapenzi yangu Yanga yanifanya nibakie"

Post a Comment

Loading...