Loading...

NEWS ALERT: SHABIKI WA YANGA AFARIKI DUNIA KWA AJALI YA GARI

Loading...
NEWS ALERT: SHABIKI WA YANGA AFARIKI DUNIA KWA AJALI YA GARI - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa NEWS ALERT: SHABIKI WA YANGA AFARIKI DUNIA KWA AJALI YA GARI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : NEWS ALERT: SHABIKI WA YANGA AFARIKI DUNIA KWA AJALI YA GARI
link : NEWS ALERT: SHABIKI WA YANGA AFARIKI DUNIA KWA AJALI YA GARI

soma pia


NEWS ALERT: SHABIKI WA YANGA AFARIKI DUNIA KWA AJALI YA GARI

Globu ya Jamii imepokea taarifa ya kifo cha shabiki maarufu wa timu ya Yanga,almaarufu kwa jina la Ally Yanga. Taarifa zinaeleza kuwa Ally Yanga amefariki Dunia mapema leo katika ajali ya gari eneo la kijiji cha Chipogolo wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma. Taarifa  rasmi tutawaletea kutoka Jeshi la Polisi kutoka mkoani humo. Mungu ailaze roho ya Marehemu mahali pema peponi-Amin.
Pichani juu na chini ni gari iliyopelekea kifo cha Shabiki huyo wa Yanga,Ally yanga



Hivyo makala NEWS ALERT: SHABIKI WA YANGA AFARIKI DUNIA KWA AJALI YA GARI

yaani makala yote NEWS ALERT: SHABIKI WA YANGA AFARIKI DUNIA KWA AJALI YA GARI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala NEWS ALERT: SHABIKI WA YANGA AFARIKI DUNIA KWA AJALI YA GARI mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/06/news-alert-shabiki-wa-yanga-afariki.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "NEWS ALERT: SHABIKI WA YANGA AFARIKI DUNIA KWA AJALI YA GARI"

Post a Comment

Loading...