Loading...

Rais wa Special Olympics Kanda ya Afrika Charles Nyambe kuzuru Tanzania

Loading...
Rais wa Special Olympics Kanda ya Afrika Charles Nyambe kuzuru Tanzania - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Rais wa Special Olympics Kanda ya Afrika Charles Nyambe kuzuru Tanzania, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Rais wa Special Olympics Kanda ya Afrika Charles Nyambe kuzuru Tanzania
link : Rais wa Special Olympics Kanda ya Afrika Charles Nyambe kuzuru Tanzania

soma pia


Rais wa Special Olympics Kanda ya Afrika Charles Nyambe kuzuru Tanzania

Rais wa Special Olympics Kanda ya Afrika ambaye pia ni mtendaji mkuu Bw. Charles Nyambe  (pichani) anatarajia kufanya ziara nchini Tanzania kuanzia tarehe 5/6/2017 hadi 9/5/2017. 

Kwa mujibu wa Charles Rays, Mkurugenzi Special Olympics Tanzania, akiwa Tanzania Bw. Nyambe atapata fursa ya kuendesha mafunzo ya uongozi wa michezo ya Special Olympics  kwa makocha  50, ambao ni waratibu wa mikoa yote 30, pamoja na wengine 20 kutoka Dar es Salaam. 

"Amependekeza  pia kutumia masaa matatu kati ya siku nne atakazokuwa nasi hapa Tanzania kukutana na kuendesha  mafunzo ya uongozi kwa  wajumbe wote wa board ya Special Olympics Tanzania", amesema Bw. Rays.


Hivyo makala Rais wa Special Olympics Kanda ya Afrika Charles Nyambe kuzuru Tanzania

yaani makala yote Rais wa Special Olympics Kanda ya Afrika Charles Nyambe kuzuru Tanzania Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Rais wa Special Olympics Kanda ya Afrika Charles Nyambe kuzuru Tanzania mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/06/rais-wa-special-olympics-kanda-ya.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Rais wa Special Olympics Kanda ya Afrika Charles Nyambe kuzuru Tanzania"

Post a Comment

Loading...