Loading...

BENKI YA CRDB YAUNGANISHA WATEJA WAKE NA HUDUMA YA SimBanking

Loading...
BENKI YA CRDB YAUNGANISHA WATEJA WAKE NA HUDUMA YA SimBanking - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa BENKI YA CRDB YAUNGANISHA WATEJA WAKE NA HUDUMA YA SimBanking, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : BENKI YA CRDB YAUNGANISHA WATEJA WAKE NA HUDUMA YA SimBanking
link : BENKI YA CRDB YAUNGANISHA WATEJA WAKE NA HUDUMA YA SimBanking

soma pia


BENKI YA CRDB YAUNGANISHA WATEJA WAKE NA HUDUMA YA SimBanking



Wateja wa Benki ya CRDB wakipata huduma mbalimbali ikiwemo kufungua akaunti mpya na kujiunga na huduma ya SimBanking ndani ya gari la mauzo la Benki ya CRDB katika maeneo ya Mbezi-Kimara jijini Dar es Salaam. (Picha na Francis Dande).

Wateja wa Benki ya CRDB wakipata huduma mbalimbali ikiwemo kufungua akaunti mpya na kujiunga na huduma ya SimBanking ndani ya gari la mauzo la Benki ya CRDB katika eneo la Kimara jijini Dar es Salaam.

Ofisa wa Benki ya CRDB, Edina Masawe, akimhudumia mteja wa benki hiyo, Christian Wilfred, aliyefika katika gari la mauzo la benki hiyo katika eneo la Mbezi Luis.

Ofisa Masoko wa Benki ya CRDB, Estherine Mtimba (kulia), akimsaidia kufungua akaunti pamoja na kumuunganisha na huduma ya SimBanking mteja mpya wa benki hiyo, Rehema Adam.

Ofisa Mauzo wa Benki ya CRDB, Benjamin Banzi (wa pili kulia), akimuunganisha mteja, Christopher Mjata kwenye huduma ya SimBanking (huduma za benki ya CRDB kwa njia ya simu za mkononi) katika eneo la Kimara jijini Dar es Salaam.

Mteja wa Benki ya CRDB, Khalid Hassan (kulia), akifungua akaunti katika gari la mauzo la benki hiyo katika eneo la Mbezi jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Ofisa wa Benki ya CRDB, Eric Maro.

Baadhi ya wateja wa Benki ya CRDB wakitoka kufungua akaunti pamoja na kujiunga na huduma ya SimBanking katika gari la mauzo la benki hiyo katika eneo la Kimara jijini Dar es Salaam.

Wateja wakisubiri kupata huduma mbalimbal ndani ya gari la mauzo la Benki ya CRDB.
Wateja wa Benki ya CRDB wakipata huduma mbalimbali ikiwemo kufungua akaunti mpya pamoja na kujiunga na huduma ya SimBanking ndani ya gari la mauzo la Benki ya CRDB katika eneo la Mbezi Luis.


Hivyo makala BENKI YA CRDB YAUNGANISHA WATEJA WAKE NA HUDUMA YA SimBanking

yaani makala yote BENKI YA CRDB YAUNGANISHA WATEJA WAKE NA HUDUMA YA SimBanking Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala BENKI YA CRDB YAUNGANISHA WATEJA WAKE NA HUDUMA YA SimBanking mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/07/benki-ya-crdb-yaunganisha-wateja-wake_27.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "BENKI YA CRDB YAUNGANISHA WATEJA WAKE NA HUDUMA YA SimBanking"

Post a Comment

Loading...