Loading...
title : JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI WAKABIDHIWA GARI IRINGA
link : JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI WAKABIDHIWA GARI IRINGA
JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI WAKABIDHIWA GARI IRINGA
Mkuu wa Mkoa wa Iringa Bi. Amina Masenza ambaye ni Mgeni rasmi akikata utepe ikiwa ni ishara ya kukabidhi rasmi gari la kuzimia moto kwa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, tukio ambalo limeshuhudiwa na Kamaishna Jenerali wa Jeshi hilo, Viongozi mbalimbali wa kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoani humo, Mdau aliyetoa msaada huo Ndugu, Zacharia Hanspoppe, Maafisa na Askari wa Jeshi hilo pamoja na wananchi. (Picha na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji)
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji akionesha funguo ya gari hilo mara baada ya tukio la kukata utepe na kukabidhiwa rasmi na Mkuu wa Mkoa Bi. Amina Masenza ambaye alikuwa ni Mgeni rasmi katika makabidhiano hayo. (Picha na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji)
Mkuu wa Mkoa wa Iringa Bi. Amina Masenza mwenye kitambaa cheupe katikati, Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Thobias Andengenye wa kwanza mbele, Mdau ndugu Zachalia Hanspope wa pili kutoka kushoto, pamoja na Viongozi wa kamati ya vyombo vya ulinzi na usalama Mkoani Iringa wakifurahi tukio la makabidhiano. (Picha na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji)
Gari lililokabidhiwa na Mkuu wa Mkoa wa Iringa Bi. Amina Masenza kwa Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoro na Uokoaji Thobias Andengenye. (Picha na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji)
Mkuu wa Mkoa wa Iringa Bi. Amina Masenza (kushoto) akiagana na Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Thobias Andengenye (kulia) mara baada ya kuhitimisha shughuli ya makabidhiano ya gari la kuzimia moto lililotolewa msaada na mdau Ndugu Zacharia Hanspoppe. (Picha na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji).
Hivyo makala JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI WAKABIDHIWA GARI IRINGA
yaani makala yote JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI WAKABIDHIWA GARI IRINGA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI WAKABIDHIWA GARI IRINGA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/07/jeshi-la-zimamoto-na-uokoaji_10.html
0 Response to "JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI WAKABIDHIWA GARI IRINGA"
Post a Comment