Loading...
title : LORI LAPINDUKA DARAJA MTO SONGWE NA KUZIBA BARABARA
link : LORI LAPINDUKA DARAJA MTO SONGWE NA KUZIBA BARABARA
LORI LAPINDUKA DARAJA MTO SONGWE NA KUZIBA BARABARA
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akipenya ili kuvuka katika daraja la mto Songwe kwenye mpaka wa mikoa ya Mbeya na Songwa baada ya Lori lililokuwa limebeba vinywaji baridi kupinduka katika daraja hilo na kuziba barabara. Ajali hiyo ilisababisha msururu mrefu wa magari yaliyokuwa yakitoka Tunduma na yale yaliyokuwa yakitoka Mbeya Julai 24, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Msururu wa magari uliosababishwa na ajali ya lori lililopinduka kwenye daraja la mto Songwe katika barabara Mbeya- Tunduma Julai 24, 2017. Lori hilo lilikuwa limebeba vinywaji baridi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Hivyo makala LORI LAPINDUKA DARAJA MTO SONGWE NA KUZIBA BARABARA
yaani makala yote LORI LAPINDUKA DARAJA MTO SONGWE NA KUZIBA BARABARA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala LORI LAPINDUKA DARAJA MTO SONGWE NA KUZIBA BARABARA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/07/lori-lapinduka-daraja-mto-songwe-na.html
0 Response to "LORI LAPINDUKA DARAJA MTO SONGWE NA KUZIBA BARABARA"
Post a Comment