Loading...

Rais wa Zanzibar Dk.Shein Akutana na Bodi ya Mamlaka ya Wakurugenzi wa ZAWA na Uongozi wa Wizara ya Ardhi Maji Nishati na Mazingira.

Loading...
Rais wa Zanzibar Dk.Shein Akutana na Bodi ya Mamlaka ya Wakurugenzi wa ZAWA na Uongozi wa Wizara ya Ardhi Maji Nishati na Mazingira. - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Rais wa Zanzibar Dk.Shein Akutana na Bodi ya Mamlaka ya Wakurugenzi wa ZAWA na Uongozi wa Wizara ya Ardhi Maji Nishati na Mazingira., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Rais wa Zanzibar Dk.Shein Akutana na Bodi ya Mamlaka ya Wakurugenzi wa ZAWA na Uongozi wa Wizara ya Ardhi Maji Nishati na Mazingira.
link : Rais wa Zanzibar Dk.Shein Akutana na Bodi ya Mamlaka ya Wakurugenzi wa ZAWA na Uongozi wa Wizara ya Ardhi Maji Nishati na Mazingira.

soma pia


Rais wa Zanzibar Dk.Shein Akutana na Bodi ya Mamlaka ya Wakurugenzi wa ZAWA na Uongozi wa Wizara ya Ardhi Maji Nishati na Mazingira.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) alipoingia katika ukumbi wa mikutano wa Ikulu Mjini Unguja leo katika kikao cha siku moja cha Uongozi wa Wizara ya Ardhi,Maji,Nishati na Mazingira na Uongozi wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Maji Zanzibar (ZAWA),[Picha na Ikulu.] 03/07/2017.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) alipokuwa akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Ardhi,Maji,Nishati na Mazingira na Uongozi wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya   Maji na Nishati Zanzibar (ZAWA) katika kikao cha siku moja kilichofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja
Baadhi ya Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya   Maji na Nishati Zanzibar (ZAWA) wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani)  katika kikao cha siku moja kilichofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja,kilichowashirikisha pia Uongozi wa Wizara ya Ardhi,Maji,Nishati na Mazingira.
Baadhi ya Viongozi wa   Mamlaka ya Maji Zanzibar (ZAWA) wakiwa katika kikao cha siku moja,kilichozungumzia masuala mbali mbali yanayoihusu taasisi hiyo,ambacho  kiliwahusisha  Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya  Maji  Zanzibar (ZAWA) chini ya Mwenyekiti wake   Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja leo
 (Picha na Ikulu)


Hivyo makala Rais wa Zanzibar Dk.Shein Akutana na Bodi ya Mamlaka ya Wakurugenzi wa ZAWA na Uongozi wa Wizara ya Ardhi Maji Nishati na Mazingira.

yaani makala yote Rais wa Zanzibar Dk.Shein Akutana na Bodi ya Mamlaka ya Wakurugenzi wa ZAWA na Uongozi wa Wizara ya Ardhi Maji Nishati na Mazingira. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Rais wa Zanzibar Dk.Shein Akutana na Bodi ya Mamlaka ya Wakurugenzi wa ZAWA na Uongozi wa Wizara ya Ardhi Maji Nishati na Mazingira. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/07/rais-wa-zanzibar-dkshein-akutana-na.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Rais wa Zanzibar Dk.Shein Akutana na Bodi ya Mamlaka ya Wakurugenzi wa ZAWA na Uongozi wa Wizara ya Ardhi Maji Nishati na Mazingira."

Post a Comment

Loading...