Loading...

SHUKRANI NA IBADA YA MAREHEMU MZEE MATTHEW GORDON KAYUZA

Loading...
SHUKRANI NA IBADA YA MAREHEMU MZEE MATTHEW GORDON KAYUZA - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa SHUKRANI NA IBADA YA MAREHEMU MZEE MATTHEW GORDON KAYUZA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : SHUKRANI NA IBADA YA MAREHEMU MZEE MATTHEW GORDON KAYUZA
link : SHUKRANI NA IBADA YA MAREHEMU MZEE MATTHEW GORDON KAYUZA

soma pia


SHUKRANI NA IBADA YA MAREHEMU MZEE MATTHEW GORDON KAYUZA

Marehemu Mzee Matthew Gordon Kayuza

Familia ya Marehemu Mzee Matthew Gordon  Kayuza ya Ada Estate Kinondoni Dar Es Salaam inapenda kutoa shukrani zake za dhati kwa niaba ya koo za Kayuza, Daudi Kolawa, Samatta, Mbiza, Poyo, Sentimea, Chienela na Nshunju kwa kuwafariji kwa hali na mali kipindi chote cha kumuuguza na hatimaye kifo na mazishi ya baba yao mpenzi Mzee Matthew Gordon Kayuza aliyefariki tarehe 21/06/2017 katika hospitali ya Aga Khan na kuzikwa tarehe 24/06/2017 kwenye makaburi ya Kinondoni Dar Es Salaam

Shukrani za pekee ziwafikie wafuatao: Waheshimiwa Kaimu Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Hamisi Juma, Jaji Kiongozi Ferdinand Wambali, Jaji Mstaafu Damian Lubuva, na Mama Salma Kikwete. Uongozi na wafanyakazi wa NSSF, Indian School, Dar Es Salaam, na Bank M, Madaktari na manesi wa Aga Khan Hospitali DSM, Dr. Jerusalem Makotore, Dr Gabriel Ndunga na manesi Esther, Joyce na Neema ambao walikuwa wakimhudumia Mzee nyumbani, Wachungaji, wahudumu na kwaya ya Kanisa Kuu la Mtakatifu Albano,Rev.Canon Albano Mbulinyingi, Jumuiya ya Mtakatifu Theresia ya Kanisa la Kristo Mfalme Kinondoni, majirani, ndugu na marafiki.  

Kutakuwa na mkesha wa kumaliza msiba leo Ijumaa tarehe 28/07/2017 kuamkia Jumamosi tarehe 29/07/2017 nyumbani kwa Marehemu Ada Estate, Kinondoni. Itafuatiwa na ibada ya shukrani siku hiyo hiyo ya Jumamosi saa mbili  asubuhi katika Kanisa Kuu la Anglikana la Mtakatifu Albano Posta Dar Es Salaam. Nyote mnakaribishwa.

“BABA MZEE MATTHEW KAYUZA TULIKUPENDA SANA ILA MUNGU AMEKUPENDA ZAIDI, PUMZIKA KWA AMANI, DAIMA UTAENDELEA KUISHI NDANI YA MIOYO YETU”.


Hivyo makala SHUKRANI NA IBADA YA MAREHEMU MZEE MATTHEW GORDON KAYUZA

yaani makala yote SHUKRANI NA IBADA YA MAREHEMU MZEE MATTHEW GORDON KAYUZA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala SHUKRANI NA IBADA YA MAREHEMU MZEE MATTHEW GORDON KAYUZA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/07/shukrani-na-ibada-ya-marehemu-mzee.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "SHUKRANI NA IBADA YA MAREHEMU MZEE MATTHEW GORDON KAYUZA"

Post a Comment

Loading...