Loading...

SIMBA FASTA, YAMALIZANA NA ERASTO NYONI KWA MIAKA MIWILI

Loading...
SIMBA FASTA, YAMALIZANA NA ERASTO NYONI KWA MIAKA MIWILI - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa SIMBA FASTA, YAMALIZANA NA ERASTO NYONI KWA MIAKA MIWILI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : SIMBA FASTA, YAMALIZANA NA ERASTO NYONI KWA MIAKA MIWILI
link : SIMBA FASTA, YAMALIZANA NA ERASTO NYONI KWA MIAKA MIWILI

soma pia


SIMBA FASTA, YAMALIZANA NA ERASTO NYONI KWA MIAKA MIWILI



Simba imemsajili beki wa kiraka, Erasto Nyoni kwa mkataba wa miaka miwili.

Nyoni amejiunga na Simba akitokea Azam FC ikiwa ni siku chache baada ya kufanya vizuri katika michuano ya Cosafa.

Kitu kizuri kwa Nyoni ni uwezo wake wa kucheza namba zote nne za ulinzi.

Pia anaweza kucheza nafasi ya kiungo mkabaji kwa ufasaha hali inayomfanya kuwa na nafasi kubwa ya kucheza.

Nyoni alirejea nchini na kujiunga na Azam FC akitokea Vital'O ya Burundi.


Hivyo makala SIMBA FASTA, YAMALIZANA NA ERASTO NYONI KWA MIAKA MIWILI

yaani makala yote SIMBA FASTA, YAMALIZANA NA ERASTO NYONI KWA MIAKA MIWILI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala SIMBA FASTA, YAMALIZANA NA ERASTO NYONI KWA MIAKA MIWILI mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/07/simba-fasta-yamalizana-na-erasto-nyoni.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "SIMBA FASTA, YAMALIZANA NA ERASTO NYONI KWA MIAKA MIWILI"

Post a Comment

Loading...