Loading...

SIMU TV: HABARI KUTOKA TELEVISHENI

Loading...
SIMU TV: HABARI KUTOKA TELEVISHENI - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa SIMU TV: HABARI KUTOKA TELEVISHENI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : SIMU TV: HABARI KUTOKA TELEVISHENI
link : SIMU TV: HABARI KUTOKA TELEVISHENI

soma pia


SIMU TV: HABARI KUTOKA TELEVISHENI


SIMU.TV: Waziri mkuu Kassim Majaliwa ameonya kuwa Tanzania sio lango la kupitisha dawa za kulevya na kutaka ulinzi kuimarishwa maeneo ya mipaka ya nchi. https://youtu.be/wSFAF3ciXWE

SIMU.TV: Mtu mmoja aliyejulikana kwa jina la Nemeles Mbatia ameuawa kwa mlipuko wa  bomu na askari wawili kujeruhiwa kutokana na mgogoro wa kugombania eneo la kuchimba madini ya Tanzanite huko Mererani mkoani Manyara. https://youtu.be/StWgN-Sexck

SIMU.TV: Serikali mkoani Mwanza imewaadhibu vigogo saba ambao wanasadikiwa kusababisha ubadhirifu wa fedha za maendeleo. https://youtu.be/ScIqR1nd0KE

SIMU.TV: Wakandarasi wanaojenga majengo ya chuo cha ualimu Kitangiri kilichopo wilayani Newala mkoani Mtwara wamejikuta wakijenga majengo hayo chini ya usimamizi mkali baada ya kulalamikiwa kuwadharau viongozi wa wilaya hiyo. https://youtu.be/F76JcllS2qA

SIMU.TV: Halmashauri na wakala wa barabara hapa nchini wameagizwa kutekeleza agizo la serikali la kusaidia vikundi mbalimbali vya kijamii kwa kuvipa ajira. https://youtu.be/u7kB-zhpOmw

SIMU.TV: Taasisi ya utafiti na kilimo ya Naliendele mkoani Mtwara imetoa mafunzo ya kilimo cha kisasa cha zao la korosho kwa jeshi la magereza ili kuongeza uzalishaji wa zao hilo hapa nchini. https://youtu.be/4_l-VFITn7k

SIMU.TV: Waziri mkuu Kassim Majaliwa amezindua meli  mbili za mizigo katika bandari ya Kiwira ziwa Nyasa wilayani Kyela  na kutahadharisha meli hizo kutumika vyema. https://youtu.be/9BwgNuS4y6A

SIMU.TV: Wananchama wa klabu ya soka ya Simba wakiongozwa na mwenyekiti wa baraza la wadhamini Hamis Kilomoni wamegoma kutohudhuri mkutano mkuu ulioitishwa na viongozi wanaokaimu nafasi za viongozi wa juu kwa kuwa mkutano huo ni batili. https://youtu.be/FAoI5Y1u0IE

SIMU.TV: Naibu Spika wa bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dr Tulia Ackson anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mashindano ya mbio za baiskeli na ngoma za asili mkoani Simiyu august sita. https://youtu.be/ywffnrNWE7U

SIMU.TV: Viane Kundi mkazi wa mjini Iringa amejinyakulia milioni 20 kwenye droo ya bahati na sibu ya BIKO iliyo chezeshwa leo jijini Dar es Salaam. https://youtu.be/Ic4rQJfXE_c


Hivyo makala SIMU TV: HABARI KUTOKA TELEVISHENI

yaani makala yote SIMU TV: HABARI KUTOKA TELEVISHENI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala SIMU TV: HABARI KUTOKA TELEVISHENI mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/07/simu-tv-habari-kutoka-televisheni_30.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "SIMU TV: HABARI KUTOKA TELEVISHENI"

Post a Comment

Loading...