Loading...

Wadau wa Habari kutoka China na Tanzania wakutana kujadili masuala ya Njia Mpya za Mawasiliano Mtandaoni

Loading...
Wadau wa Habari kutoka China na Tanzania wakutana kujadili masuala ya Njia Mpya za Mawasiliano Mtandaoni - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Wadau wa Habari kutoka China na Tanzania wakutana kujadili masuala ya Njia Mpya za Mawasiliano Mtandaoni, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Wadau wa Habari kutoka China na Tanzania wakutana kujadili masuala ya Njia Mpya za Mawasiliano Mtandaoni
link : Wadau wa Habari kutoka China na Tanzania wakutana kujadili masuala ya Njia Mpya za Mawasiliano Mtandaoni

soma pia


Wadau wa Habari kutoka China na Tanzania wakutana kujadili masuala ya Njia Mpya za Mawasiliano Mtandaoni

Mwambawahabari
1
Mkurugenzi wa Idara ya Habari-MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt.Hassan Abbasi akiongea katika mkutano Njia Mpya za Mawasiliano Mtandaoni kati ya wadau wa Habari kati ya Tanzania na China Leo Jijini Dar es Salaam.
2
Balozi wa China Nchini Dkt. Lu Youqing akiongea wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Majadiliano kuhusu Njia Mpya za Mawasiliano Mtandaoni ambapo aliahidi kuendelea kutoa ushirikiano katika masuala Mawasiliano
3
Baadhi ya washiriki wakifuatilia mkutano huo.
4
Mkurugenzi wa Idara ya Habari-MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt.Hassan Abbasi akiteta akiwaeleza jambo Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano(Mawasiliano) Mhandisi Angelina Madete (katikati) na Naibu Waziri Wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Edwin Ngonyani.
5
Makamu wa Waziri Mwenye Dhamana ya masuala ya mitandao kitaifa kutoka China Ren Xianliang akiongea wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Majadiliano kuhusu Njia Mpya za Mawasiliano Mtandaoni ambapo aliahidi kuendelea kutoa ushirikiano katika masuala Mawasiliano
6
Naibu Waziri Wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Edwin Ngonyani akiongea wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Majadiliano kuhusu Njia Mpya za Mawasiliano Mtandaoni ambapo alisema kwa sasa serikali ipo katika hatua za kutengeneza mpango wa taifa wa Usalama wa mtandao.
8
Naibu Waziri Wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Edwin Ngonyani akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa Mkutano wa Njia Mpya za Mawasiliano Mtandaoni
9


Hivyo makala Wadau wa Habari kutoka China na Tanzania wakutana kujadili masuala ya Njia Mpya za Mawasiliano Mtandaoni

yaani makala yote Wadau wa Habari kutoka China na Tanzania wakutana kujadili masuala ya Njia Mpya za Mawasiliano Mtandaoni Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Wadau wa Habari kutoka China na Tanzania wakutana kujadili masuala ya Njia Mpya za Mawasiliano Mtandaoni mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/07/wadau-wa-habari-kutoka-china-na.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Wadau wa Habari kutoka China na Tanzania wakutana kujadili masuala ya Njia Mpya za Mawasiliano Mtandaoni"

Post a Comment

Loading...