Loading...

Balozi Seif Ali Iddi amjulia hali Mwakilishi wa Jimbo la Uzini Mh. Mohamed Raza Hassanali

Loading...
Balozi Seif Ali Iddi amjulia hali Mwakilishi wa Jimbo la Uzini Mh. Mohamed Raza Hassanali - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Balozi Seif Ali Iddi amjulia hali Mwakilishi wa Jimbo la Uzini Mh. Mohamed Raza Hassanali, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Balozi Seif Ali Iddi amjulia hali Mwakilishi wa Jimbo la Uzini Mh. Mohamed Raza Hassanali
link : Balozi Seif Ali Iddi amjulia hali Mwakilishi wa Jimbo la Uzini Mh. Mohamed Raza Hassanali

soma pia


Balozi Seif Ali Iddi amjulia hali Mwakilishi wa Jimbo la Uzini Mh. Mohamed Raza Hassanali

 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi kulia akimjulia hali Mwakilishi wa Jimbo la Uzini Mh. Mohamed Raza Hassanali hapo Hotelini Kwake Golden Tulip Kibweni nje kidogo ya Mji wa Zanzibar. Mh. Raza anaendelea na mapumziko mafupi baada ya kufanyiwa matibabu Nchini India hivi karibuni. Aliyepo nyuma yao ni Mdogo wake Mh. Mohamed Raza ambae pia ni Mbunge wa Jimbo la Kimbesamaki Mh. Ibrahim Raza.
 Mh. Mohamed Raza kati kati akieleza namna alivyopata huduma za Afya wakati akiwa Hospitalini Nchini India. Wa kwanza kulia ni Balozi Seif na kulia ya Mheshimiwa Raza ni Daktari Azan anayefuatilia afya yake katika kipindi hichi cha mapumziko.
Dr. Azan akimueleza Balozi Seif baadhi ya njia anazopaswa Mtu kuzichukuwa  katika kujilinda dhidi ya maradhi ya Kisukari makubwa zaidi ni kufuata miko ya vyakula na kufanya mazoezi kila siku. 
Picha na OMPR – ZNZ.


Hivyo makala Balozi Seif Ali Iddi amjulia hali Mwakilishi wa Jimbo la Uzini Mh. Mohamed Raza Hassanali

yaani makala yote Balozi Seif Ali Iddi amjulia hali Mwakilishi wa Jimbo la Uzini Mh. Mohamed Raza Hassanali Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Balozi Seif Ali Iddi amjulia hali Mwakilishi wa Jimbo la Uzini Mh. Mohamed Raza Hassanali mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/07/balozi-seif-ali-iddi-amjulia-hali.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Balozi Seif Ali Iddi amjulia hali Mwakilishi wa Jimbo la Uzini Mh. Mohamed Raza Hassanali"

Post a Comment

Loading...