Loading...
title : Innocent Nyalia wa Dodoma achomoza na Milioni 20 za Biko
link : Innocent Nyalia wa Dodoma achomoza na Milioni 20 za Biko
Innocent Nyalia wa Dodoma achomoza na Milioni 20 za Biko
Droo hiyo ilichezeshwa na Balozi wa Biko, Kajala Masanja na Mwakilishi wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania, Jehud Ngolo, ambaye kwa pamoja alishuhudia kupatikana kwa mshindi huyo wa droo ya 29 ya Biko.
Akizungumza katika droo hiyo, Mratibu wa Masoko na Mawasiliano wa Biko, Hassan Melles, alimpongeza mshindi huyo wa mjini Dodoma, Nyalia na kuwataka Watanzania wote kuchangamkia fursa za mamilioni ya Biko.
Alisema huu ni wakati wa kutajirika kwa kuvuna mamilioni ya Biko yanayoendelea kutolewa kwa wingi, ikiwa ni mwendelezo wa kuona wachezaji hao wanaotumia simu za M-Pesa, Airtel Money na Tigo Pesa kwa kuingiza namba ya kampuni 505050 na kumbukumbu 2456 wananeemeka na Biko.
KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA
Hivyo makala Innocent Nyalia wa Dodoma achomoza na Milioni 20 za Biko
yaani makala yote Innocent Nyalia wa Dodoma achomoza na Milioni 20 za Biko Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Innocent Nyalia wa Dodoma achomoza na Milioni 20 za Biko mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/08/innocent-nyalia-wa-dodoma-achomoza-na.html
0 Response to "Innocent Nyalia wa Dodoma achomoza na Milioni 20 za Biko"
Post a Comment