Loading...

Jumuiya ya Maendeleo ya Elimu Zanzibar (ZEDO) yawakutanisha wanachama wa Kijani kibichi wa Mkoa wa Kaskazini na Mkoa Kusini Unguja

Loading...
Jumuiya ya Maendeleo ya Elimu Zanzibar (ZEDO) yawakutanisha wanachama wa Kijani kibichi wa Mkoa wa Kaskazini na Mkoa Kusini Unguja - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Jumuiya ya Maendeleo ya Elimu Zanzibar (ZEDO) yawakutanisha wanachama wa Kijani kibichi wa Mkoa wa Kaskazini na Mkoa Kusini Unguja, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Jumuiya ya Maendeleo ya Elimu Zanzibar (ZEDO) yawakutanisha wanachama wa Kijani kibichi wa Mkoa wa Kaskazini na Mkoa Kusini Unguja
link : Jumuiya ya Maendeleo ya Elimu Zanzibar (ZEDO) yawakutanisha wanachama wa Kijani kibichi wa Mkoa wa Kaskazini na Mkoa Kusini Unguja

soma pia


Jumuiya ya Maendeleo ya Elimu Zanzibar (ZEDO) yawakutanisha wanachama wa Kijani kibichi wa Mkoa wa Kaskazini na Mkoa Kusini Unguja

 MWENYEKITI wa Jumuiya ya Maendeleo ya Elimu Zanzibar (ZEDO) ambae pia ni Mkurugenzi wa Mtandao wa Kijani kibichi Ussi Said Suleiman, akizungumza na wanachama wa mtandao huo wa Mkoa Kaskazini na Kusini kwa lengo la kuanzisha Kijiji kitakachozalisha zaidi ya ajira 2000.
 BAADHI ya wanachama wa Mtandao wa Kijani kibichi wa Mkoa wa Kaskazini na Kusini Unguja wakimsikiliza Mkurugenzi wa Mtandao huo Ussi Said Suleiman (hayupo pichani) katika mkutano uliofanyika Ofisi ya Jumuiya ya Maendeleo ya Elimu Mikunguni mjini Zanzibar.

  MMOJa wa wanachama wa mtandao wa Kijani kibichi Bi. Eunice Peter akichangia katika mkutano wa kujadili maendeleo ya jumuiya hiyo.
WANACHAMA  wa Jumuiya ya ZEDO kutoka mikoa miwili ya Unguja, Kaskazini na Kusini waliohitimu mafunzo ya ujasiriamali wakiwa katika picha ya pamoja. Katikati ni Ussi Said Suleiman, Mwenyekiti wa jumuiya hiyo.

Picha na Makame Mshenga.


Hivyo makala Jumuiya ya Maendeleo ya Elimu Zanzibar (ZEDO) yawakutanisha wanachama wa Kijani kibichi wa Mkoa wa Kaskazini na Mkoa Kusini Unguja

yaani makala yote Jumuiya ya Maendeleo ya Elimu Zanzibar (ZEDO) yawakutanisha wanachama wa Kijani kibichi wa Mkoa wa Kaskazini na Mkoa Kusini Unguja Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Jumuiya ya Maendeleo ya Elimu Zanzibar (ZEDO) yawakutanisha wanachama wa Kijani kibichi wa Mkoa wa Kaskazini na Mkoa Kusini Unguja mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/08/jumuiya-ya-maendeleo-ya-elimu-zanzibar.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Jumuiya ya Maendeleo ya Elimu Zanzibar (ZEDO) yawakutanisha wanachama wa Kijani kibichi wa Mkoa wa Kaskazini na Mkoa Kusini Unguja"

Post a Comment

Loading...