Loading...

Yanga yawasili Zanzibar kukipiga na Mlandege usiku wa leo

Loading...
Yanga yawasili Zanzibar kukipiga na Mlandege usiku wa leo - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Yanga yawasili Zanzibar kukipiga na Mlandege usiku wa leo, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Yanga yawasili Zanzibar kukipiga na Mlandege usiku wa leo
link : Yanga yawasili Zanzibar kukipiga na Mlandege usiku wa leo

soma pia


Yanga yawasili Zanzibar kukipiga na Mlandege usiku wa leo

Wachezaji wa Timu ya Yanga, Haji Mwinyi Ngwali na Abdalla Haji "Ninja" wakiwa pamoja na mwandishi wa habari hii Abubakr Khatib "Kisandu" hotelini

Na: Abubakar Khatib Kisandu, Zanzibar.

MABINGWA wa soka wa Tanzania Bara, Yanga wamewasili kisiwani Unguja leo saa 5 za asubuhi wakitokea Jijini Dar es salam ambapo leo saa 2:00 za usiku watacheza mchezo wa kirafiki na Mlandege SC mchezo ambao utapigwa katika uwanja wa Amaan.

Yanga wamefikia katika Hoteli ya Lail-Noor ambayo ipo Maisara Mjini Unguja.

Kesho asubuhi Yanga wataondoka kisiwani Unguja na kwenda Kisiwani Pemba kuweka kambi kujiandaa na pambano na mtani wake, Simba katika mchezo wa Ngao ya Hisani utakaopigwa Agost 23, 2017 kwenye uwanja wa Taifa Jijini Dar es salam.



Hivyo makala Yanga yawasili Zanzibar kukipiga na Mlandege usiku wa leo

yaani makala yote Yanga yawasili Zanzibar kukipiga na Mlandege usiku wa leo Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Yanga yawasili Zanzibar kukipiga na Mlandege usiku wa leo mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/08/yanga-yawasili-zanzibar-kukipiga-na.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Yanga yawasili Zanzibar kukipiga na Mlandege usiku wa leo"

Post a Comment

Loading...