Loading...

Mahakama yaruhusu mkutano mkuu wa club ya simba kufanyika Agosti 13

Loading...
Mahakama yaruhusu mkutano mkuu wa club ya simba kufanyika Agosti 13 - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Mahakama yaruhusu mkutano mkuu wa club ya simba kufanyika Agosti 13, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Mahakama yaruhusu mkutano mkuu wa club ya simba kufanyika Agosti 13
link : Mahakama yaruhusu mkutano mkuu wa club ya simba kufanyika Agosti 13

soma pia


Mahakama yaruhusu mkutano mkuu wa club ya simba kufanyika Agosti 13

Na Ahmed Ally .

Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu imetupilia mbali ombi la bodi ya wadhamini wa klabu ya Simba la kutaka kuzuia mkutano Mkuu wa klabu hiyo uliopangwa kufanyika August 13 mwaka huu. 

Hakimu Mkazi amesema haitokua busara kuzuia mkutano huo kwani Agenda za mkutano  hazionyeshi kama kuna agenda ya mabadiliko ya mfumo kama ambavyo wadhamini wanadai. 

Pia Mahakama imesema sio busara kuzuia Mkutano kwani tayari baadhi wanachama wa Simba wanaoishi mikoani wameshawasili hivyo kuzuia mkutano huo ni kuwatia hasara, lakini pia uongozi wa klabu umeshafanya maandalizi.

Na mwisho kabisa mahakama imesema kwa kuwa mlalamikaji ambae ni Mzee Kilomoni ana haki ya kuhudhuria Mkutano Mkuu ni vema akaenda kwenye mkutano huo akaeleza maoni yake.


Hivyo makala Mahakama yaruhusu mkutano mkuu wa club ya simba kufanyika Agosti 13

yaani makala yote Mahakama yaruhusu mkutano mkuu wa club ya simba kufanyika Agosti 13 Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Mahakama yaruhusu mkutano mkuu wa club ya simba kufanyika Agosti 13 mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/08/mahakama-yaruhusu-mkutano-mkuu-wa-club.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Mahakama yaruhusu mkutano mkuu wa club ya simba kufanyika Agosti 13"

Post a Comment

Loading...