Loading...

MHE HAMAD ASIFU TEKNOLOJIA YA SERIKALI MTANDAO KATIKA KILIMO

Loading...
MHE HAMAD ASIFU TEKNOLOJIA YA SERIKALI MTANDAO KATIKA KILIMO - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MHE HAMAD ASIFU TEKNOLOJIA YA SERIKALI MTANDAO KATIKA KILIMO, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MHE HAMAD ASIFU TEKNOLOJIA YA SERIKALI MTANDAO KATIKA KILIMO
link : MHE HAMAD ASIFU TEKNOLOJIA YA SERIKALI MTANDAO KATIKA KILIMO

soma pia


MHE HAMAD ASIFU TEKNOLOJIA YA SERIKALI MTANDAO KATIKA KILIMO


Waziri wa Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi wa Zanzibar Mhe Hamad Rashid Muhammed Akisikiliza kwa makini maelezo mbalimbali kuhusu Teknolojia ya Serikali ya Mtandao wakati alipotembelea Maonesho ya Kilimo (Nanenane) yanayofanyika katika viwanja vya Ngongo Mkoani Lindi.

Waziri wa Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi wa Zanzibar Mhe Hamad Rashid Muhammed Akisikiliza kwa makini maelezo mbalimbali kuhusu Teknolojia ya Serikali ya Mtandao Kutoka kwa Bi Caroline Swai Mtaalamu wa Teknolojia, Habari na Mawasiliano (TEHAMA) wakati alipotembelea Maonesho ya Kilimo (Nanenane) yanayofanyika katika viwanja vya Ngongo Mkoani Lindi.

Waziri wa Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi wa Zanzibar Mhe Hamad Rashid Muhammed Akisikiliza kwa makini maelezo mbalimbali kuhusu Teknolojia ya Serikali ya Mtandao wakati alipotembelea Maonesho ya Kilimo (Nanenane) yanayofanyika katika viwanja vya Ngongo Mkoani Lindi.
Waziri wa Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi wa Zanzibar Mhe Hamad Rashid Muhammed Akisikiliza kwa makini maelezo mbalimbali kuhusu Sera na Mipango wakati alipotembelea Maonesho ya Kilimo (Nanenane) yanayofanyika katika viwanja vya Ngongo Mkoani Lindi.

Na Mathias Canal, Lindi


Wizara ya kilimo Mifugo na Uvuvi imepongezwa kwa kusimamia utekelezaji wa mkakati wa serikali mtandao ndani ya wizara ambao utawezesha matumizi ya teknolojia katika kutoa huduma za serikali zinazohusiana na kilimo


Jambo hilo litawezesha kuboresha huduma, kupanua upatikanaji wa huduma kwa wahitaji ndani ya sekta lakini hata na nje ya sekta ya kilimo na vile vile kujaribu kuwa wabunifu wa kujua na kutoa huduma wanayohitaji wadau wa kilimo.


Hayo yamebainishwa na Waziri wa Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi wa Zanzibar Mhe Hamad Rashid Muhammed wakati alipotembelea Maonesho ya Kilimo (Nanenane) yanayofanyika katika viwanja vya Ngongo Mkoani Lindi.


Mhe Hamad alisema kuwa malengo makubwa ya vizara ni kutoa huduma bora za kilimo, kuweka mazingira bora kwa wazalishaji na kuchangia kikamilifu ukamilishaji na tija katika kilimo, kusimamia na kuwezesha ushirika kutoa huduma bora na zenye tija kwa wateja.


Wizara ya Kilimo kupitia kitengo cha Teknolojia, Habari na Mawasiliano (TEHAMA) tayari kimesimika Video Conference ya kisasa inayofanya kazi kurahisisha mawasiliano baina ya kilimo makao makuu Dodoma na Ofisi za kilimo Dar es salaam.


Hata hivyo kitengo hicho kinaendelea na usimikaji wa mfumo wa Taifa wa Taarifa za kilimo (National Agricultural Information System NAMIS) ambao utakuwa kitovu cha taarifa za kilimo kwa wadau wote wa kilimo Tanzania.


Sambamba na hayo pia uwekaji wa mtandao kuunganisha wizara nzima upo katika hatua mbalimbali ikiwa ni pamoja na uunganishi wa mtandao wa kompyuta uliopo uliopo katika makao makuu ya Wizara na kwenye vituo vya utafiti.


MWISHO


Hivyo makala MHE HAMAD ASIFU TEKNOLOJIA YA SERIKALI MTANDAO KATIKA KILIMO

yaani makala yote MHE HAMAD ASIFU TEKNOLOJIA YA SERIKALI MTANDAO KATIKA KILIMO Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MHE HAMAD ASIFU TEKNOLOJIA YA SERIKALI MTANDAO KATIKA KILIMO mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/08/mhe-hamad-asifu-teknolojia-ya-serikali.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MHE HAMAD ASIFU TEKNOLOJIA YA SERIKALI MTANDAO KATIKA KILIMO"

Post a Comment

Loading...