Loading...

Rais Dk Shein akutana na Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Bima

Loading...
Rais Dk Shein akutana na Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Bima - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Rais Dk Shein akutana na Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Bima, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Rais Dk Shein akutana na Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Bima
link : Rais Dk Shein akutana na Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Bima

soma pia


Rais Dk Shein akutana na Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Bima

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) alipokuwa akizungumza na  Uongozi wa Wizara ya Fedha na Mipango,Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Bima na Uongozi wa Sirika la Bima  Zanzibar  katika kikao cha siku moja kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja,ambacho kimejadili mambo mbali mbali ya kiutendaji wa Sirika hilo , [Picha na Ikulu.] 11 /08/2017.
 Baadhi ya Viongozi katika  Sirika la Bima  Zanzibar  wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) wakati wa kikao cha siku moja kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja kilichojumuisha Uongozi wa Wizara ya Fedha na Mipango pamoja  na Bodi ya Wakurugenzi ya  Wakurugenzi ya Shirika la Bima Zanzibar  ,[Picha na Ikulu.] 11/08/2017.
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Bima  Zanzibar Nd, Abdulnasir Ahmed Mohamed (kushoto) alipokuwa akizungumza na kutoa ufafanuzi wakati wa kikao cha siku moja kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja,ambapo Mwenyekiti wa kikao hicho Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) pia kimejumuisha Bodi ya  Wakurugenzi ya Shirika la Bima  Zanzibar,Uongozi wa Wizara ya Fedha na Mipango na Uongozi wa  Shirika la Bima Zanzibar,(kulia) Mwenyekiti wa Bodi ya  Wakurugenzi ya Shirika la Bima  Bw.Jumbe Said Ibrahim,[Picha na Ikulu.] 11/08/2017.  


Hivyo makala Rais Dk Shein akutana na Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Bima

yaani makala yote Rais Dk Shein akutana na Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Bima Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Rais Dk Shein akutana na Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Bima mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/08/rais-dk-shein-akutana-na-bodi-ya.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Rais Dk Shein akutana na Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Bima"

Post a Comment

Loading...