Loading...

Sheikh Shariff Majini kufanya Dua nzito Magomeni.

Loading...
Sheikh Shariff Majini kufanya Dua nzito Magomeni. - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Sheikh Shariff Majini kufanya Dua nzito Magomeni., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Sheikh Shariff Majini kufanya Dua nzito Magomeni.
link : Sheikh Shariff Majini kufanya Dua nzito Magomeni.

soma pia


Sheikh Shariff Majini kufanya Dua nzito Magomeni.

Sheikh Shariff Majini kwa siku mbili mfululizo atafanya Dua maeneo ya Magomeni wilayani Kinondoni Jiji la Dar es salaam.

Dua itafanyika katika viwanja vya Mtambani jirani na ofisi za Serikali ya Mtaa na Dua hiyo itakuwa ni ya hadhara lakini pia ni ya pamoja ili kuifanya kuwa na nguvu.

Huu ni mfululizo wa Dua za Sheikh maeneo mbali mbali Nchini.

Kabla ya Magomeni Sheikh amefanya DUA katika mikoa ya Dodoma, Arusha, Tanga, Temeke, Viwanja vya TP Darajani na Ukumbini STARLIGHT.


Hivyo makala Sheikh Shariff Majini kufanya Dua nzito Magomeni.

yaani makala yote Sheikh Shariff Majini kufanya Dua nzito Magomeni. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Sheikh Shariff Majini kufanya Dua nzito Magomeni. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/08/sheikh-shariff-majini-kufanya-dua-nzito.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Sheikh Shariff Majini kufanya Dua nzito Magomeni."

Post a Comment

Loading...