Loading...

Vijana kutoka Mji wa Vallejo, California watembelea Ubalozi wetu Washington D.C.

Loading...
Vijana kutoka Mji wa Vallejo, California watembelea Ubalozi wetu Washington D.C. - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Vijana kutoka Mji wa Vallejo, California watembelea Ubalozi wetu Washington D.C., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Vijana kutoka Mji wa Vallejo, California watembelea Ubalozi wetu Washington D.C.
link : Vijana kutoka Mji wa Vallejo, California watembelea Ubalozi wetu Washington D.C.

soma pia


Vijana kutoka Mji wa Vallejo, California watembelea Ubalozi wetu Washington D.C.


Vijana sita wa Kimarekani kutoka Mji wa Vallejo, California,  (Sister City International) leo  wametembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani jijini  Washington D.C. Mji wa Vallejo ni Mji Dada na Mji wa Bagamoyo. Lengo la ziara yao ni  kujua na kujifunza masuala mbalimbali kuhusu Tanzania, kwa kuwa wanatarajia kutembelea mji wa Bagamoyo mwaka 2019.

Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Wilson M. Masilingi (kati) na afisa wa ubalozi Bw. Dismas Assenga (kulia) wakiwa na vijana  hao sita kutoka mji wa Vallejo, California


Hivyo makala Vijana kutoka Mji wa Vallejo, California watembelea Ubalozi wetu Washington D.C.

yaani makala yote Vijana kutoka Mji wa Vallejo, California watembelea Ubalozi wetu Washington D.C. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Vijana kutoka Mji wa Vallejo, California watembelea Ubalozi wetu Washington D.C. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/08/vijana-kutoka-mji-wa-vallejo-california.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Vijana kutoka Mji wa Vallejo, California watembelea Ubalozi wetu Washington D.C."

Post a Comment

Loading...