Loading...
title : WANARIADHA WAPONGEZWA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA JIJINI DAR LEO.
link : WANARIADHA WAPONGEZWA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA JIJINI DAR LEO.
WANARIADHA WAPONGEZWA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA JIJINI DAR LEO.
Mwanariadha, Alphonce Simbu aliyeshinda medali ya shaba katika Mashindano ya Mbio nchini Uingereza kwa mwaka huu 2017 akizungumza wakati wa Jeshi la kujenga taifa limewapongeza washindi hao walipowasili hapa nchini tangu walipotoka kwenye mashindano ya Riadha ya Dunia yaliyofanyika nchini Uingereza. Amesema kuwa "Ushindi huu si wangu peke yangu bali ni wa wetu sote kutokana tulikuwa na umoja."Huu ni ushindi wa wote, hivyo umoja wetu utazidi kujitahidi kufanya vizuri zaidi hapo baadae,".
Mwakilishi wa Multchoice, akizungumza katika hafla fupi iliyoandali na Jeshi la Kujenga Taifa akiwapongeza washiriki wa Mashindano hapo ikiwa mshindi watatu wa mashindano ya riadha ya dunia aliibuka kidedea
Alfonce Simbu.
Alfonce Simbu.
Mwanariadha, Alphonce Simbu aliyeshinda medali ya shaba katika Mashindano ya Mbio nchini Uingereza kwa mwaka huu 2017 akiwa kwenye picha ya pamoja na Mkuu wa Jeshi la Kujenga taifa, Meja jenerali, Michael Isamuhyo jijini Dar es Salaam leo wakati wa kuwapongeza kushiriki mashindano ya Rianda ya Dunia.
Hivyo makala WANARIADHA WAPONGEZWA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA JIJINI DAR LEO.
yaani makala yote WANARIADHA WAPONGEZWA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA JIJINI DAR LEO. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala WANARIADHA WAPONGEZWA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA JIJINI DAR LEO. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/08/wanariadha-wapongezwa-na-jeshi-la.html
0 Response to "WANARIADHA WAPONGEZWA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA JIJINI DAR LEO."
Post a Comment