Loading...

Balozi Dkt. Ramadhani Kitwana Dau awasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Indonesia Mhe. Joko Widodo

Loading...
Balozi Dkt. Ramadhani Kitwana Dau awasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Indonesia Mhe. Joko Widodo - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Balozi Dkt. Ramadhani Kitwana Dau awasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Indonesia Mhe. Joko Widodo, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Balozi Dkt. Ramadhani Kitwana Dau awasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Indonesia Mhe. Joko Widodo
link : Balozi Dkt. Ramadhani Kitwana Dau awasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Indonesia Mhe. Joko Widodo

soma pia


Balozi Dkt. Ramadhani Kitwana Dau awasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Indonesia Mhe. Joko Widodo

Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Indonesia mwenye makazi jijini Kuala Lumpur Mheshimiwa Dkt. Ramadhani Kitwana Dau amewasilisha Hati za Utambulisho  (Letters of Credence) kwa Rais wa Jamhuri ya Indonesia Mheshimiwa Joko Widodo katika sherehe zilizofanyika siku ya Jumanne ya tarehe 12 Septemba 2017 katika Ikulu ya Indonesia maarufu kama Istana Maderka.
Kuwasilishwa kwa Hati hizo kunatoa ruksa wa Balozi Dkt. Dau sasa ya kufanya shughuli za uwakilishi nchini Indonesia kwa uhuru pasipo kuvunja taratibu za Kidiplomasia.

Imetolewa na:
Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
 Kuala Lumpur

 Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Indonesia mwenye makazi jijini Kuala Lumpur Mheshimiwa Dkt. Ramadhani Kitwana Dau akiwasili katika Ikulu ya Indonesia maarufu kama Istana Maderka tayari kuwasilisha Hati za Utambulisho  (Letters of Credence) kwa Rais wa Jamhuri ya Indonesia Mheshimiwa Joko Widodo
 Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Indonesia mwenye makazi jijini Kuala Lumpur Mheshimiwa Dkt. Ramadhani Kitwana Dau akiwasilisha Hati za Utambulisho  (Letters of Credence) kwa Rais wa Jamhuri ya Indonesia Mheshimiwa Joko Widodo
Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Indonesia mwenye makazi jijini Kuala Lumpur Mheshimiwa Dkt. Ramadhani Kitwana Dau akipeana mikono na  Rais wa Jamhuri ya Indonesia Mheshimiwa Joko Widodo baada ya kuwasilisha Hati za Utambulisho  (Letters of Credence)
  
Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Indonesia mwenye makazi jijini Kuala Lumpur Mheshimiwa Dkt. Ramadhani Kitwana Dau akiongea  na  Rais wa Jamhuri ya Indonesia Mheshimiwa Joko Widodo baada ya kuwasilisha Hati za Utambulisho.

Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Indonesia mwenye makazi jijini Kuala Lumpur Mheshimiwa Dkt. Ramadhani Kitwana Dau akiagana  na  Rais wa Jamhuri ya Indonesia Mheshimiwa Joko Widodo baada ya kuwasilisha Hati za Utambulisho.


Hivyo makala Balozi Dkt. Ramadhani Kitwana Dau awasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Indonesia Mhe. Joko Widodo

yaani makala yote Balozi Dkt. Ramadhani Kitwana Dau awasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Indonesia Mhe. Joko Widodo Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Balozi Dkt. Ramadhani Kitwana Dau awasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Indonesia Mhe. Joko Widodo mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/09/balozi-dkt-ramadhani-kitwana-dau.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Balozi Dkt. Ramadhani Kitwana Dau awasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Indonesia Mhe. Joko Widodo"

Post a Comment

Loading...