Loading...
title : Elimu : Wananchi wa Jamii ya Wafugaji Kitongoji cha Endepesi Wajengewa Shule ya Msingi
link : Elimu : Wananchi wa Jamii ya Wafugaji Kitongoji cha Endepesi Wajengewa Shule ya Msingi
Elimu : Wananchi wa Jamii ya Wafugaji Kitongoji cha Endepesi Wajengewa Shule ya Msingi
Jamii hii ya Endevesi walikuwa wakipata Huduma hizi umbali wa km. Zaidi ya 5 Na kupelekea watoto wengi kuwa watoro. "Shule tumejengewa, serikali tutahakikisha tunapanga walimu Na shule hii inaanza 2018. Wananchi wakikishe wanaleta watoto shuleni. Nasi tutawachukulia hatua wote watakaokuwa watoro." Aliwashukuru pia kwa kuunga mkono juhudi za Mh. Rais wa Tanzania katika kuhimiza elimu. Miradi hiyo imegharimu zaidi ya Tshs. 800M.
Mkuu wa Wilaya ya Same, Mhe. Rosemary Senyamule akiongea mara baada ya kupokea majengo yaliyojengwa kwa ushirikiano wa masista wa Grail, Joy of faith na Korea Hope Foundation.
Mkuu wa Wilaya ya Same, Mhe. Rosemary Senyamule akipanda mti wa kumbukumbu.
Mkuu wa wilaya na kiongozi wa Korea Hope Foundation wakinawa mikono katima bomba ambalo ni moja ya mradi waliokabidhiwa.
Hivyo makala Elimu : Wananchi wa Jamii ya Wafugaji Kitongoji cha Endepesi Wajengewa Shule ya Msingi
yaani makala yote Elimu : Wananchi wa Jamii ya Wafugaji Kitongoji cha Endepesi Wajengewa Shule ya Msingi Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Elimu : Wananchi wa Jamii ya Wafugaji Kitongoji cha Endepesi Wajengewa Shule ya Msingi mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/09/elimu-wananchi-wa-jamii-ya-wafugaji.html
0 Response to "Elimu : Wananchi wa Jamii ya Wafugaji Kitongoji cha Endepesi Wajengewa Shule ya Msingi"
Post a Comment