Loading...
title : KAMPUNI YA GROOVJOINT YALETA VIUNGANISHI VYA MABOMBA KUTOKA NCHINI MAREKANI
link : KAMPUNI YA GROOVJOINT YALETA VIUNGANISHI VYA MABOMBA KUTOKA NCHINI MAREKANI
KAMPUNI YA GROOVJOINT YALETA VIUNGANISHI VYA MABOMBA KUTOKA NCHINI MAREKANI
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Sekta Binafsi (TPSF), Godfrey Simbeye akitoa shukrani zake za pekee kwa kampuni ya GroovJoint iliyokuja nchini Tanzania kuwekeza upande wa viunganishi vya mabomba ambapo alisema kuwa wameamua kuwapokea kwa mikono miwili kampuni hiyo kwa vile viunganishi vitasaidia wananchi kupata maji safi na salama. Pembeni ni Makamu wa Rais wa Kampuni ya GroovJoint ya nchini Marekani iliyokuja kuwekeza nchini Tanzania katika sekta ya viwanda na Wakala wa wauzaji wa Vifaa Vya kuunganishia mabomba yanayotoka nchini Marekani, David Robert Mwamsojo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Sekta Binafsi (TPSF), Godfrey Simbeye akimshukuru Makamu wa Rais wa Kampuni ya GroovJoint ya nchini Marekani, David Newman mara baada ya mkutano na waandishi wa habari kuelezea malengo ya kampuni yao. Pembeni ni Wakala wa wauzaji wa Vifaa Vya kuunganishia mabomba yanayotoka nchini Marekani, David Robert Mwamsojo.
Hivyo makala KAMPUNI YA GROOVJOINT YALETA VIUNGANISHI VYA MABOMBA KUTOKA NCHINI MAREKANI
yaani makala yote KAMPUNI YA GROOVJOINT YALETA VIUNGANISHI VYA MABOMBA KUTOKA NCHINI MAREKANI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala KAMPUNI YA GROOVJOINT YALETA VIUNGANISHI VYA MABOMBA KUTOKA NCHINI MAREKANI mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/09/kampuni-ya-groovjoint-yaleta.html
0 Response to "KAMPUNI YA GROOVJOINT YALETA VIUNGANISHI VYA MABOMBA KUTOKA NCHINI MAREKANI"
Post a Comment