Loading...

PPRA NA NEEC ZAINGIIA MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO WA MIAKA MITANO.

Loading...
PPRA NA NEEC ZAINGIIA MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO WA MIAKA MITANO. - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa PPRA NA NEEC ZAINGIIA MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO WA MIAKA MITANO., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : PPRA NA NEEC ZAINGIIA MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO WA MIAKA MITANO.
link : PPRA NA NEEC ZAINGIIA MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO WA MIAKA MITANO.

soma pia


PPRA NA NEEC ZAINGIIA MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO WA MIAKA MITANO.

MAMLAKA ya  Udhibiti wa Manunuzi ya Umma (PPRA) na  Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), wametiliana saini mkataba wa miaka mitano wa ushirikiano.

Mkataba huo uliosainiwa leo Dar es Salaam, utawezesha PPRA na NEEC kushirikiana   kiutendaji  ili kuwawezesha  wajasiriamali wadogo  na wa kati   kushiriki   kwenye fursa   mbalimbali  zinazopatikana katika manunuzi ya umma.

Akizungumza wakati wa hafla ya utilianaji saini  mkataba huo,  Afisa Mtendaji Mkuu wa PPRA Dk.  Laurent  Shirima, lengo linguine ni mamlaka  kuhakikisha  kigezo mojawapo  wakati wa  hatua ya tathimini kwenye zabuni za umma  cha  upendeleo kwa ajasiriamali  wadogo na kati kinazigatiwa.

“Pia  kila mwaka PPRA na NEEC kufanya tathimini ya pamoja ili  kujua namna taasisi nunuzi  zinavyotekeleza au kuzingatia ushiriki wa wajasiriamali wadogo na wakati,”alisema Dk. Shirima.

Malengo mengine ni PPRA na NEEC kufanya tafiti za pamoja  zitakazo jikita  zaidi  katika uwezeshaji  na ushiriki wa wajasiriamali  wadogo na kati  kwenye michakato ya  manunuzi  ya umma.

“Suala la kuwajengea wananchi uwezo  wa kupambana na umasikini kwa kushiriki katika shughuli za kiuchumi limekuwa  kipaumbele kikubwa  cha serikali na hasa ya awamu ya tano.

Ili kufanikisha azma hiyo , serikali imekuwa ikiandaa sera  na sheria  mbalimbali  zinazoweka mazingira  mazuri  ya wananchi  kushiriki na kuitumia fursa za kibiashara,”lifafanua Dk. Shirima.
 Afisa Mtendaji Mkuu wa PPRA Dk.  Laurent  Shirima,akizugumza wakati  wa hafla ya utilianaji saini wa mkataba wa miaka mitano wa ushirikiano na Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC)  leo jijini Dar es Salaam.(kushoto)ni Katibu Mtendaji wa NEEC, Beng’I  Issa.
 Afisa Mtendaji Mkuu wa PPRA Dk.  Laurent  Shirima(kulia)pamoja na Katibu Mtendaji wa NEEC, Beng’i Issa wakisaini mkataba wa miaka mitano wa ushirikiano wanaoshuhudia  (kulia) ni  Mwanasheria Mwandamizi wa PPRA, Agnes Sayi  na kushoto ni Kaimu Mkurugenzi Ushiriki wa Watanzania katika Uwekezaji, Esther Mmbaga.
Afisa Mtendaji Mkuu wa PPRA Dk.  Laurent  Shirima, pamoja na wakibadilisha hati za mkataba wa miaka mitano wa ushirikiano leo jijini Dar es Salaam.
Picha na Emmanuel Massaka,Globu ya jamii.


Hivyo makala PPRA NA NEEC ZAINGIIA MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO WA MIAKA MITANO.

yaani makala yote PPRA NA NEEC ZAINGIIA MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO WA MIAKA MITANO. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala PPRA NA NEEC ZAINGIIA MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO WA MIAKA MITANO. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/09/ppra-na-neec-zaingiia-makubaliano-ya.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "PPRA NA NEEC ZAINGIIA MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO WA MIAKA MITANO."

Post a Comment

Loading...