Loading...

RAIS MAGUFULI KUPOKEA RIPOTI YA MADINI YA ALMASI LEO.

Loading...
RAIS MAGUFULI KUPOKEA RIPOTI YA MADINI YA ALMASI LEO. - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa RAIS MAGUFULI KUPOKEA RIPOTI YA MADINI YA ALMASI LEO., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : RAIS MAGUFULI KUPOKEA RIPOTI YA MADINI YA ALMASI LEO.
link : RAIS MAGUFULI KUPOKEA RIPOTI YA MADINI YA ALMASI LEO.

soma pia


RAIS MAGUFULI KUPOKEA RIPOTI YA MADINI YA ALMASI LEO.

Mwambawahabari

LEO  Tarehe 07 Septemba, 2017 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli atapokea taarifa ya uchunguzi wa madini ya Tanzanite na Almasi uliofanywa na kamati maalum mbili zilizoundwa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai. 

Taarifa hiyo itakabidhiwa kwa Rais Magufuli na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa, Ikulu Jijini Dar es Salaam. 

Hafla ya kukabidhiwa kwa taarifa hiyo itarushwa moja kwa moja na vituo vya redio na televisheni kuanzia saa 4:00 Asubuhi. 

Wananchi wote mnaombwa kufuatilia matangazo hayo kupitia vyombo vya habari na tovuti rasmi ya Ikulu ambayo ni www.ikulu.go.tz 

Gerson Msigwa 
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU 
Dar es Salaam


Hivyo makala RAIS MAGUFULI KUPOKEA RIPOTI YA MADINI YA ALMASI LEO.

yaani makala yote RAIS MAGUFULI KUPOKEA RIPOTI YA MADINI YA ALMASI LEO. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala RAIS MAGUFULI KUPOKEA RIPOTI YA MADINI YA ALMASI LEO. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/09/rais-magufuli-kupokea-ripoti-ya-madini.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "RAIS MAGUFULI KUPOKEA RIPOTI YA MADINI YA ALMASI LEO."

Post a Comment

Loading...