Loading...

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli Amjulia Hali Meja Jenerali Mstaafu Vicent Mritaba Aliyejeruhiwa Kwa Risasi

Loading...
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli Amjulia Hali Meja Jenerali Mstaafu Vicent Mritaba Aliyejeruhiwa Kwa Risasi - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli Amjulia Hali Meja Jenerali Mstaafu Vicent Mritaba Aliyejeruhiwa Kwa Risasi, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli Amjulia Hali Meja Jenerali Mstaafu Vicent Mritaba Aliyejeruhiwa Kwa Risasi
link : Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli Amjulia Hali Meja Jenerali Mstaafu Vicent Mritaba Aliyejeruhiwa Kwa Risasi

soma pia


Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli Amjulia Hali Meja Jenerali Mstaafu Vicent Mritaba Aliyejeruhiwa Kwa Risasi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akisalimiana na mtoto Nathan Martin  wakati akitoka kumjulia hali Meja jenerali Mstaafu Vicent Mritaba aliyelazwa Hospitali ya Jeshi Lugalo jijini Dar es salaam alikolazwa akitibiwa majeraha baada ya kushambuliwa kwa risasi mkononi, tumboni na kiunoni  wakati anaingia nyumbani kwake Ununio wilaya ya Kinondoni jijini Dar es salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimsikiliza Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Mabeyo baada ya kumjulia hali Meja Jenerali Mstaafu Vicent Mritaba aliyelazwa Hospitali ya Jeshi Lugalo jijini Dar es salaam alikolazwa akitibiwa majeraha baada ya kushambuliwa kwa risasi mkononi, tumboni na mguuni wakati anaingia nyumbani kwake Ununio wilaya ya Kinondoni jijini Dar es salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akisalimiana na Mwalimu  Aloys Konolipa wa Shule ya Msingi Kidugalo wilayani Kisarawe Mkoa wa Pwani alipopita kuwapa pole wagonjwa wengine baada ya kumjulia hali Meja  Jenerali Mstaafu Vicent Mritaba aliyelazwa Hospitali ya Jeshi Lugalo jijini Dar es salaam alikolazwa akitibiwa majeraha baada ya kushambuliwa kwa risasi mkononi, tumboni na kiunoni wakati akiingia nyumbani kwake Ununio wilaya ya Kinondoni.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli pamoja na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Mabeyo (kushoto) na Brigedia Jenerali Dkt. Paul Massawe Meja  Jenerali Mstaafu Vicent Mritaba akielezea alivyoshambuliwa kwa  risasi mkononi, tumboni na mguuni  wakati akiingia  nyumbani kwake Ununio wilaya ya Kinondoni jijini Dar es salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli pamoja na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Mabeyo (kushoto) na Brigedia Jenerali Dkt. Paul Massawe Meja  Jenerali Mstaafu Vicent Mritaba akielezea alivyoshambuliwa kwa  risasi mkononi, tumboni na mguuni  wakati akiingia  nyumbani kwake Ununio wilaya ya Kinondoni jijini Dar es salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli pamoja na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Mabeyo (kushoto) na Brigedia Jenerali Dkt. Paul Massawe wakiangalia majeraha aliyopata Meja Jenerali Mstaafu Vicent Mritaba baada ya kushambuliwa kwa risasi mkononi, tumboni na kiunoni wakati anaingia nyumbani kwake Ununio wilaya ya Kinondoni jijini Dar es salaam.(Picha na Ikulu)


Hivyo makala Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli Amjulia Hali Meja Jenerali Mstaafu Vicent Mritaba Aliyejeruhiwa Kwa Risasi

yaani makala yote Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli Amjulia Hali Meja Jenerali Mstaafu Vicent Mritaba Aliyejeruhiwa Kwa Risasi Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli Amjulia Hali Meja Jenerali Mstaafu Vicent Mritaba Aliyejeruhiwa Kwa Risasi mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/09/rais-wa-jamuhuri-ya-muungano-wa_12.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli Amjulia Hali Meja Jenerali Mstaafu Vicent Mritaba Aliyejeruhiwa Kwa Risasi"

Post a Comment

Loading...