Loading...

SERIKALI ZA TANZANIA NA KENYA ZAMALIZA MZOZO WA VIKWAZO VYA BIASHARA BAINA YA MATAIFA HAYO.

Loading...
SERIKALI ZA TANZANIA NA KENYA ZAMALIZA MZOZO WA VIKWAZO VYA BIASHARA BAINA YA MATAIFA HAYO. - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa SERIKALI ZA TANZANIA NA KENYA ZAMALIZA MZOZO WA VIKWAZO VYA BIASHARA BAINA YA MATAIFA HAYO., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : SERIKALI ZA TANZANIA NA KENYA ZAMALIZA MZOZO WA VIKWAZO VYA BIASHARA BAINA YA MATAIFA HAYO.
link : SERIKALI ZA TANZANIA NA KENYA ZAMALIZA MZOZO WA VIKWAZO VYA BIASHARA BAINA YA MATAIFA HAYO.

soma pia


SERIKALI ZA TANZANIA NA KENYA ZAMALIZA MZOZO WA VIKWAZO VYA BIASHARA BAINA YA MATAIFA HAYO.


Na Ismail Ngayonga-MAELEZO-DAR ES SALAAM

SERIKALI za Tanzania na Kenya zimekubaliana kwa pamoja kumaliza vikwazo vya kibiashara katika usafirishaji na uingizaji wa bidhaa katika mipaka baina ya nchi hizo mbili hatua inayokusudia kuimarisha ushirikiano wa biashara na uwekezaji katika Mataifa hayo.

Hayo yamesemwa jana Jijini Dar es Salaam na Katibu Mkuu wa Wizara ya Wizara, Biashara na Uwekezaji (Biashara na Uwekezaji) Prof. Adolf Mkenda mara baaada ya kumalizika kwa mkutano wa pamoja yao ulioshirikisha Viongozi Waandamizi wa Serikali hizo, Wafanyabiashara na Wakulima kutoka Mataifa hayo.

Anasema katika mkutano huo Serikali ya Tanzania iliwasilisha mapendekezo 15 kwa Serikali ya Kenya yanayopaswa kupatiwa ufumbuzi, ambapo kwa upande wa Kenya waliwasilisha mapendekezo 16 ambapo kwa kiasi kikubwa hoja hizo zimekubaliwa na kupatiwa majibu yake katika mkutano huo.

Prof. Mkenda alisema kupatikana kwa mwafaka wa majadiliano hayo ni maelekezo ya Viongozi Wakuu wa Mataifa hayo, Rais Dkt. John Pombe Magufuli wa Tanzania na Uhurru Kenyatta wa Kenya kwa kuwa Viongozi hao wametaka suala hilo lipatiwe mwafaka wa haraka ili kuweza kuendeleza ushirikiano na uhusiano katika nyanja mbalimbali baina ya nchi hizo.
Baadhi ya Maafisa Waandimizi wa Serikali, Wafanyabiashara na Wazalishaji wa bidhaa za Kilimo kutoka wakulima kutoka Tanzania na Kenya wakifuatilia taarifa mbalimbali zilizotolewa na Wenyeviti wa Mkutano huo uliojadili changamoto na utatuzi wa vikwazo vya biashara na uwekezaji katika Mataifa hayo.
Balozi wa Tanzania nchini Kenya, Dkt. Pindi Chana akitoa taarifa ya majadiliano ya mkutano baina ya Watendaji Wakuu wa Serikali ya Tanzania na Kenya uliojadili changamoto na utatuzi wa vikwazo vya biashara na uwekezaji katika Mataifa. Mkutano huo ulifanyika jana Septemba 8 Jijini Dar es Salaam. Wengine katika Picha ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Biashara ya Tanzania, Prof. Adolf Mkenda na Katibu Mkuu wa Wizara ya Biashara ya Kenya Dkt. Chris Kiptoo.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji (Baishara na Uwekezaji), Prof. Adolf Mkenda akizungumza na Watendaji Wakuu wa Serikali, Wafanyabiashara na Wazalishaji wa bidhaa za kilimo katika Mataifa hayo. Mkutano huo ulifanyika jana Septemba 8 Jijini Dar es Salaam. Wengine katika Picha ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Biashara ya Tanzania, Prof. Adolf Mkenda na Katibu Mkuu wa Wizara ya Biashara ya Kenya Dkt. Chris Kiptoo.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda, Biashara na Ushirikiano wa Kenya, Dkt. Chris Kiptoo akizungumza na Watendaji Wakuu wa Serikali, Wafanyabiashara na Wazalishaji wa bidhaa za kilimo katika Mataifa hayo. Mkutano huo ulifanyika jana Septemba 8 Jijini Dar es Salaam. Wengine katika Picha ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Biashara ya Tanzania, Prof. Adolf Mkenda na Katibu Mkuu wa Wizara ya Biashara ya Kenya Dkt. Chris Kiptoo.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Biashara, Uwekezaji na Ushirikiano wa Kenya, Dkt. Chris Kiptoo na Mwenjeji wake Prof. Adolf Mkenda wakionyesha Sera ya Taifa ya Biashara ya Kenya wakati mkutano baina ya Watendaji Wakuu wa Serikali, Wafanyabiashara na Wazalishaji wa bidhaa za kilimo katika Mataifa hayo uliojadili changamoto na utatuzi wa vikwazo vya biashara na uwekezaji katika Mataifa hayo. Mkutano huo ulifanyika jana Septemba 8 Jijini Dar es Salaam.(PICHA NA ELIPHACE MARWA-MAELEZO).






Hivyo makala SERIKALI ZA TANZANIA NA KENYA ZAMALIZA MZOZO WA VIKWAZO VYA BIASHARA BAINA YA MATAIFA HAYO.

yaani makala yote SERIKALI ZA TANZANIA NA KENYA ZAMALIZA MZOZO WA VIKWAZO VYA BIASHARA BAINA YA MATAIFA HAYO. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala SERIKALI ZA TANZANIA NA KENYA ZAMALIZA MZOZO WA VIKWAZO VYA BIASHARA BAINA YA MATAIFA HAYO. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/09/serikali-za-tanzania-na-kenya-zamaliza.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "SERIKALI ZA TANZANIA NA KENYA ZAMALIZA MZOZO WA VIKWAZO VYA BIASHARA BAINA YA MATAIFA HAYO."

Post a Comment

Loading...