Loading...

TFF YAPATA UDHAMINI MNONO TOKA BENKI YA KCB

Loading...
TFF YAPATA UDHAMINI MNONO TOKA BENKI YA KCB - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa TFF YAPATA UDHAMINI MNONO TOKA BENKI YA KCB, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : TFF YAPATA UDHAMINI MNONO TOKA BENKI YA KCB
link : TFF YAPATA UDHAMINI MNONO TOKA BENKI YA KCB

soma pia


TFF YAPATA UDHAMINI MNONO TOKA BENKI YA KCB

Mwambawahabari

21765042_492797681100015_5464396644767177224_n
Shirikisho la soka nchini TFF, leo Septemba 25 limesaini mkataba na benki ya KCB wenye thamani ya shilingi 325,000,000.
Akizungumza wakati wa kusaini mkataba huo Rais wa TFF Wallace Karia amesema huo ni ushahidi kuwa shirikisho lina ushirikiano na wadau mbalimbali wa mpira nchini.
Aidha Karia amesema fedha hizo zitaelekezwa kwenye kukuza vipaji vya soka pamoja na maendeleo ya soka nchini kwa ujumla.
Huu ni mkataba mkubwa wa kwanza kusainiwa na shirikisho hilo tangu uongozi mpya chini ya Rais Wallace Karia ulioingia madarakani August 12 mwaka huu.


Hivyo makala TFF YAPATA UDHAMINI MNONO TOKA BENKI YA KCB

yaani makala yote TFF YAPATA UDHAMINI MNONO TOKA BENKI YA KCB Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala TFF YAPATA UDHAMINI MNONO TOKA BENKI YA KCB mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/09/tff-yapata-udhamini-mnono-toka-benki-ya.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "TFF YAPATA UDHAMINI MNONO TOKA BENKI YA KCB"

Post a Comment

Loading...