Loading...
title : USAFI WA VYOO NI MUHIMU KWA AFYA YA WATUMIAJI WAKE.
link : USAFI WA VYOO NI MUHIMU KWA AFYA YA WATUMIAJI WAKE.
USAFI WA VYOO NI MUHIMU KWA AFYA YA WATUMIAJI WAKE.
Matumizi ya vyoo vya kulipia ni changamoto kubwa kwa wahisani wanaothubutu kujenga miradi ya vyoo katika masoko kadhaa katika manispaa ya kigoma ujiji, ikiwemo choo hiki kama kionekanavyo pichani, kilichopo soko la mwalo wa Kibirizi .Pamoja na choo hicho kuwa cha kulipia lakini mandhari yake si salama hata kidogo kwa watimiaji wake,kutoka na kuzungukwa na taka taka ambazo zingeweza kuondolewa na choo kikabaki safi na salama kwa watumiaji.
Hivyo makala USAFI WA VYOO NI MUHIMU KWA AFYA YA WATUMIAJI WAKE.
yaani makala yote USAFI WA VYOO NI MUHIMU KWA AFYA YA WATUMIAJI WAKE. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala USAFI WA VYOO NI MUHIMU KWA AFYA YA WATUMIAJI WAKE. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/09/usafi-wa-vyoo-ni-muhimu-kwa-afya-ya.html
0 Response to "USAFI WA VYOO NI MUHIMU KWA AFYA YA WATUMIAJI WAKE."
Post a Comment