Loading...
title : ZRB Yatoa Elimu kwa Waandishi wa Habari Pemba Juu Mabadiliko ya Sheria ya Kodi.
link : ZRB Yatoa Elimu kwa Waandishi wa Habari Pemba Juu Mabadiliko ya Sheria ya Kodi.
ZRB Yatoa Elimu kwa Waandishi wa Habari Pemba Juu Mabadiliko ya Sheria ya Kodi.
Kaimu Mkuu wa Idara ya Habari Maelezo Pemba, Kauthar Is-haka Mzee,akifunguwa mafunzo juu ya mabadiliko ya sheria ya Kodi kwa Wanahabari wa Vyombo mbali mbali Kisiwani Pemba, yalioandaliwa na Z.R.B Zanzibar.
Maofisa wa ZRB wakiwa na mwenyekiti wa mafunzo ya Mabadiko ya Kodi ambae pia ni Kaimu Mkuu wa Idara ya Habari maelezo Pemba,Kauthar Is-haq , huko katika ukumbi wa Maktaba Pemba.
Baadhi ya Waandishi wa habari wa Vyombo mbali mbali vya habari wakifuatlia kwa makini mada zinazotolewa na Maofisa kutoka Bodi ya Mapato Zanzibar juu ya mabadiko ya sheria za Kodi.icha na Bakari Mussa - Pemba.
Hivyo makala ZRB Yatoa Elimu kwa Waandishi wa Habari Pemba Juu Mabadiliko ya Sheria ya Kodi.
yaani makala yote ZRB Yatoa Elimu kwa Waandishi wa Habari Pemba Juu Mabadiliko ya Sheria ya Kodi. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala ZRB Yatoa Elimu kwa Waandishi wa Habari Pemba Juu Mabadiliko ya Sheria ya Kodi. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/09/zrb-yatoa-elimu-kwa-waandishi-wa-habari.html
0 Response to "ZRB Yatoa Elimu kwa Waandishi wa Habari Pemba Juu Mabadiliko ya Sheria ya Kodi."
Post a Comment