Loading...

CCM YAZINDUA KWA KISHINDO KAMPENI ZA UDIWANI KIJICHI LEO

Loading...
CCM YAZINDUA KWA KISHINDO KAMPENI ZA UDIWANI KIJICHI LEO - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa CCM YAZINDUA KWA KISHINDO KAMPENI ZA UDIWANI KIJICHI LEO, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : CCM YAZINDUA KWA KISHINDO KAMPENI ZA UDIWANI KIJICHI LEO
link : CCM YAZINDUA KWA KISHINDO KAMPENI ZA UDIWANI KIJICHI LEO

soma pia


CCM YAZINDUA KWA KISHINDO KAMPENI ZA UDIWANI KIJICHI LEO

 Katibu wa CCM mkoa wa Dar es Salaam Saad Kusilawe akimnadi mgombea wa CCM katika uchaguzi wa marudio wa Udiwani Kata ya Kijichi, Eliasa Mtalawanje,Temeke Dar es Salaam, leo. Akizungumza amesema CCM itashinda Udiwani kata zote tatu ambako uchaguzi unarudiwa mkoani Dar es Salaam. Kata zingine ni Saranga na Mbweni.
 Mgombea Udiwani kwa tiketi ya CCM kata ya Kijichi Eliasa Mtalawanje akisalimia baada ya kutambulishwa kwenye mkutano huo
 Mtalawanje akitroti  kuelekea jukwaani baada ya kutambulishwa na Mwenyekiti wa Wazee wa CCM Temeke.
 Mgombea akionyesha ilani baada ya kukabidhiwa
 Mgombea wa CCM katika uchaguzi wa marudio wa Udiwani Kata ya Kijichi, Eliasa Mtalawanje,Temeke Dar es Salaam, akizungumza na kuomba kura baada ya kunadiwa na Kusilawe, leo





Hivyo makala CCM YAZINDUA KWA KISHINDO KAMPENI ZA UDIWANI KIJICHI LEO

yaani makala yote CCM YAZINDUA KWA KISHINDO KAMPENI ZA UDIWANI KIJICHI LEO Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala CCM YAZINDUA KWA KISHINDO KAMPENI ZA UDIWANI KIJICHI LEO mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/10/ccm-yazindua-kwa-kishindo-kampeni-za.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "CCM YAZINDUA KWA KISHINDO KAMPENI ZA UDIWANI KIJICHI LEO"

Post a Comment

Loading...