Loading...
title : Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Bolosi Sief Akabidhi Vyeti Kwa Washiriki wa Mbio za Mwenge wa Uhuru.
link : Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Bolosi Sief Akabidhi Vyeti Kwa Washiriki wa Mbio za Mwenge wa Uhuru.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Bolosi Sief Akabidhi Vyeti Kwa Washiriki wa Mbio za Mwenge wa Uhuru.
Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimkabidhi cheti cha shukrani Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibu Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud wakati wa sherehe ya kuwapongeza vijana walioshiriki kwenye halaiki kwenye sherehe za kilele cha kuzimwa mwenge wa uhuru, zilizofanyika katika Uwanja wa Amaan Zanzibar. 14-10-2017 .
Makamo wa pili wa rais wa Zanzibar balozi Seif Ali Iddi akimkabidhi cheti cha shukrani ndugu Ali Ramadhani Iddi akiwakilisha wenzake walioshiriki kwenye halaiki kwenye sherehe za kilele cha kuzimwa mwenge zilizofanyika Amani 
Makamo wa pili wa rais wa zanzibar balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na wakufunzi wa halaiki wakati wa sherehe za kuwapongeza vijana walioshiriki kwenye halaiki kwenye sherehe za kilele cha kuzimwa mwenge. Sherehe za kuwapongeza vijana hao zilifanyika makao makuu ya KVZ Mtoni
Hivyo makala Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Bolosi Sief Akabidhi Vyeti Kwa Washiriki wa Mbio za Mwenge wa Uhuru.
yaani makala yote Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Bolosi Sief Akabidhi Vyeti Kwa Washiriki wa Mbio za Mwenge wa Uhuru. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Bolosi Sief Akabidhi Vyeti Kwa Washiriki wa Mbio za Mwenge wa Uhuru. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/10/makamu-wa-pili-wa-rais-wa-zanzibar_26.html
0 Response to "Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Bolosi Sief Akabidhi Vyeti Kwa Washiriki wa Mbio za Mwenge wa Uhuru."
Post a Comment