Loading...

MBUNGE KABATI ATOA SH.MILIONI MOJA KWA MTANDAO WA POLISI WANAWAKE MKOANI IRINGA (TPF)

Loading...
MBUNGE KABATI ATOA SH.MILIONI MOJA KWA MTANDAO WA POLISI WANAWAKE MKOANI IRINGA (TPF) - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MBUNGE KABATI ATOA SH.MILIONI MOJA KWA MTANDAO WA POLISI WANAWAKE MKOANI IRINGA (TPF), tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MBUNGE KABATI ATOA SH.MILIONI MOJA KWA MTANDAO WA POLISI WANAWAKE MKOANI IRINGA (TPF)
link : MBUNGE KABATI ATOA SH.MILIONI MOJA KWA MTANDAO WA POLISI WANAWAKE MKOANI IRINGA (TPF)

soma pia


MBUNGE KABATI ATOA SH.MILIONI MOJA KWA MTANDAO WA POLISI WANAWAKE MKOANI IRINGA (TPF)

Mbunge wa viti maalum mkoani Iringa kupitia chama cha mapinduzi (CCM) Ritta Kabati akizungumza wakati wa maadhimisho ya miaka kumi tangu kuanzishwa kwa mtandao wa polisi wanawake mkoani Iringa (TPF) akiwa sambamba na kamanda wa polisi mkoa wa Iringa Julias Mjengi.  
Kabati aliliomba jeshi la polisi mkoani Iringa kuhakikisha wanapeleka dawati la jinsia katika shule za msingi na sekondari ili kupunguza na kumaliza kabisa tatizo la ubakaji kwa wanafunzi kwa kuwa watakuwa wazi kuzungumza wanachofanyiwa huko mitaani. Mbunge huyo alichangia kiasi cha sh. milioni moja kwa ajili ya kusaidia dawati hilo.
Kamanda wa jeshi lapolisi mkoa wa Iringa Julias Mjengi akizungumza wakati wa maadhimisho ya miaka kumi tangu kuanzishwa kwa mtandao wa polisi wanawake mkoani Iringa (TPF)
Kamanda wa jeshi lapolisi mkoa wa Iringa Julias Mjengi na mbunge wa viti maalum mkoani Iringa kupitia chama cha mapinduzi (CCM) Ritta Kabati wakicheza ngoma wakati wa maadhimisho ya miaka kumi tangu kuanzishwa kwa mtandao wa polisi wanawake mkoani Iringa (TPF). 
Hawa ni baadhi ya wanamtandao wa polisi wanawake mkoani Iringa (TPF) wakiwa katika maadhimisho ya miaka kumi toka kuanzishwa kwa mwaka 2007.


Hivyo makala MBUNGE KABATI ATOA SH.MILIONI MOJA KWA MTANDAO WA POLISI WANAWAKE MKOANI IRINGA (TPF)

yaani makala yote MBUNGE KABATI ATOA SH.MILIONI MOJA KWA MTANDAO WA POLISI WANAWAKE MKOANI IRINGA (TPF) Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MBUNGE KABATI ATOA SH.MILIONI MOJA KWA MTANDAO WA POLISI WANAWAKE MKOANI IRINGA (TPF) mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/10/mbunge-kabati-atoa-shmilioni-moja-kwa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MBUNGE KABATI ATOA SH.MILIONI MOJA KWA MTANDAO WA POLISI WANAWAKE MKOANI IRINGA (TPF)"

Post a Comment

Loading...