Loading...
Loading...
- Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa , tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title :
link :

soma pia


Na Humphrey Shao, Globu ya Jamii

Baraza la famasi nchini limewataka wakurugenzi  wa Halmashauri  kote nchini kuendelea kusimamia maduka ya madawa pamoja na kuweka bajeti ya ukaguzi ili kuongeza ufanisi wa maduka hayo, ambayo yanahudumia wananchi wengi kwa ujumla.

Hayo yameelezwa leo na Msajili kutoka baraza la Famasi nchini, Elizabeth Shekalaghe  alipokuwa akizungumza na Waandishi wa habari juu ya tuzo walizotoa kwa Halmashauri tatu zilizofanya vizuri katika usimamizi wa famasi.

"Wakurugenzi waendelee kusimamia huduma za dawa pamoja na kupanga bajeti kwa ajili ya ukaguzi hili wawez kuwa na huduma bora katika wilaya zao kwani takwimu zinaonyesha kuwa idadi kubw aya watu uanzia kupata huduma kwenye maduka ya dawa kisha kwenda hospitali"amesema Shekalaghe.

Amesema kuwa Baraza linawataka wakurugenzi kufanya vitu vitatu kwa kufanya ukaguzi katika maduka ya dawa ,kufanya vikao na kamati ya Chakula na Dawa pamoja na kuwasilisha taharifa ya utendaji wao katika baraza la famasi nchini.

Amesema katika mkutano huu wa Alat wameweza kujadili mambo mbalimbali ikiwemo namna ya kupambana na Changamoto 

Msajili wa Baraza la Famasi Nchini ,Elizabeth Shekalaghe akiongea na Waandishi wa Habari juu ya tamko lao kwa wakurugenzikufuatilia mduka ya Dawa kote nchini
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nzega Mjini Philemon Magesa akizungumza na Wandishi wa habari juu ya namna  walivyofanya mpaka wakaibuka washindi juu ya usimamizi wa famasi


Hivyo makala

yaani makala yote Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/10/na-humphrey-shao-globu-ya-jamii-baraza.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to " "

Post a Comment

Loading...